Mharagwe-Pana

Mharagwe-pana (jina la kisayansi: Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae.

Mharagwe-pana
(Vicia faba)
Miharagwe-pana shambani
Miharagwe-pana shambani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Vicia
L.
Spishi: V. faba
L.

Mbegu zake huitwa maharagwe mapana.

Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali pote katika kanda za nusutropiki na wastani.

Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.

Picha

Tags:

FabaceaeFamilia (biolojia)Jina la kisayansiMbeguMmea

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kaizari Leopold ITreniMahakamaUfugaji wa kukuTaswira katika fasihiJumapili ya matawiUzazi wa mpangoVitendawiliKiimboChemchemiOrodha ya vitabu vya BibliaChe GuevaraKichochoPonografiaVivumishi vya kumilikiInjili ya MathayoJKatekisimu ya Kanisa KatolikiUkoloniRashidi KawawaNabii EliyaFur EliseUmemeMpwaDiniVihisishiKatibuInsha ya wasifuUchawiPichaAngahewaOrodha ya milima mirefu dunianiLughaMadawa ya kulevyaUbunifuSilabiMfumo wa lughaVivumishi vya pekeeMkoa wa ShinyangaKiswahiliKitenziYoung Africans S.CMziziBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiBaruaSikioWaarabuUturukiUkimwiTafsiriKiraiUtendi wa Fumo LiyongoKadi za mialikoMbeguUandishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPilipiliVivumishi vya urejeshiSubrahmanyan ChandrasekharMichael JacksonNgw'anamalundi (Mwanamalundi)MakkaChombo cha usafiri kwenye majiMmeaMajeshi ya Ulinzi ya KenyaMaudhuiMkoa wa MorogoroMtaalaShahawaPikipikiViunganishiLongitudoInshaTendo la ndoaAzimio la Kimataifa juu ya Haki za BinadamuUsawa (hisabati)🡆 More