Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Mmea" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
na utando wa seli). Kwa hiyo mimea huwa na utando wa seli wenye selulosi. Mmea unapata sehemu kubwa ya nishati kutoka nuru ya jua kwa njia ya usanisinuru... |
Mbaazi (Cajanus cajan) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa mbaazi pia. Mmea huu hukuzwa sana katika maeneo... |
divinorum) ni mmea ambao utumizi wa majani yake kwa njia ya kutafuna, kuvuta kama sigara au kupika kama chai unasababisha namna ya ulevi. Majani ya mmea huu yana... |
Fungu (Celosia argentea) ni mmea wa familia Amaranthaceae unaopandwa sana katika Afrika na Asia ya Kusini-Mashariki. Majani na maua hulika.... |
Mbegu ni sehemu ya tunda la mmea inayoweza kuendelea kuwa mmea mpya. Mbegu ni njia ya kuzaliana kwa mimea mingi zinazoitwa kwa njia ya kibiolojia spermatophytina... |
katika nusufamilia Panicoideae. Kama jina lake linaashiria nyasi hili ni mmea msumbufu: ni gugu baya sana mashambani na pia nywele zake kama sindano zinavunjika... |
Kiazi ni sehemu ya mzizi wa mmea ambayo imekua nene na inahifadhi chakula cha mmea. Mifano ni kiazi kitamu, kiazi kikuu, kiazi cha kizungu na karoti. Kiazi... |
Mizizi (kwa Kiingereza: "roots") ni sehemu ya mmea iliyoko chini ya ardhi ambayo husaidia mmea kukua. Mizizi mingi inaweza ikawa dawa.... |
au kifuata-jua au mkabilishamsi (jina la kisayansi: Helianthus annuus) ni mmea wenye ua kubwa unaodumu mwaka mmoja. Asili yake iko Amerika lakini imeenea... |
katika ukuaji wa mmea. Virutubisho vikuu vitatu ni: naitrojeni (N), fosforasi (P), potasiamu (K) ambavyo kwa ujumla hutengeneza mbolea. Mmea wowote hutumia... |
viwili vinavyohusiana. Kimsingi inamaanisha: kile ambacho mtu, mnyama au mmea hupenda kufanya kama kwa silika. Lakini binadamu anaweza kujijengea tabia... |
Tete ni jina la: Punje ambayo haijaiva bado (Tete (punje)) Aina ya mmea (Tete (mmea)) Mji katika Tanzania (Tete (mji)) Mji na mkoa katika Msumbiji (Tete... |
Mlezi maana yake inaweza kuwa: Mlezi (mtu) (mtu anayelea) Mwele (mmea unaozaa ulezi)... |
Muhogo (Kiing. cassava) ni mmea wa jenasi Manihot na chakula muhimu katika Afrika, Amerika Kusini na nchi za Asia Kusini. Sehemu ya kuliwa ni hasa viazi... |
zinapatikana kwenye miili ya wanyama wote kama vile binadamu n.k. Seli ya mmea ni aina ya seli zinazopatikana kwenye mimea yote kama vile miti n.k. Licha... |
Kiazi cha kizungu, kiazi ulaya, kiazi mviringo au mbatata ni mmea wa chakula uliomo katika familia ya Solanaceae. Chakula ni sehemu nene za mizizi yake... |
Manjano ni unga wa mizizi ya mmea kutoka Asia ya Kusini Mashariki unaoitwa Curcuma longa kwa jina la kisayansi. Majani Maua Mzizi na unga... |
Mkunde (Vigna unguiculata) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Mmea huu hupandwa sana katika Afrika na katika... |
haya huwafanya walio wengi kusahau kutazama namna ulivyo mmea wake. Ni ajabu sana ukiutazama mmea wa ua hili namna ulivyo. Kwanza umezungukwa na miiba pande... |
(Ipomoea kituiensis) ni mmea wa familia Convolvulaceae unaotokea nchini Uhabeshi, Kenya, Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe. Mmea huu una maua meupe hadi... |