Seli (kutoka Kilatini cellula = chumba kidogo) ni chumba kidogo ndani ya mwili wa binadamu, wanyama.
mimea n.k.
Mwili wote wa kila kiumbehai hufanywa kwa seli. Viumbehai vidogo sana kama bakteria huwa na seli moja tu. Mwili wa mwanadamu huwa na seli trilioni 100 au 1014.
Kila yai ni seli moja tu, hivyo seli kubwa duniani ni yai la mbuni.
Seli za kawaida ni ndogo sana kiasi kwamba huweza kutazamwa tu kwa kutumia hadubini.
Seli zinatofautiana kisasi kati ya domeni za viumbehai. Bakteria na archaea (prokarioti) huwa na seli za mfuto lakini seli za eukarioti zina vitu ndani zao.
Kuna aina kuu mbili za seli, nazo niː
Kimsingi seli za eukaryota huwa naː
Kuna aina mbili za seli za kieukarioti:
Licha ya kuwa katika sehemu tofauti za viumbehai, seli hizi zinafanana baadhi ya vitu na kutofautiana pia.
Baadhi ya vitu ambavyo vipo kwenye seli ya mnyama na seli ya mmea ni pamoja na:
Tofauti kati ya seli ya mnyama na seli ya mmea ni pamoja na:
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Seli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Seli, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.