Maktaba

Maktaba ni sehemu au jengo lililo maalum kwa ajili ya kujisomea na kujifunza juu ya vitu mbalimbali.

Kuna aina kadhaa za maktaba ila zote hazina tofauti kwani zina lengo moja: kutoa elimu.

Maktaba
Maktaba ya Abasia ya Melk nchini Austria.
Maktaba
Halifax Central Library, mfano wa maktaba ya kisasa.
Maktaba
Ukumbi wa kujisomea katika maktaba ya New York City.

Asilimia kubwa ya maktaba huwa na vitabu vya aina mbalimbali, kwa mfano: vya kiada na ziada.

Pia unaweza kuwa na maktaba yako binafsi na licha ya kuwa na maktaba yako unaweza kwenda shuleni ukaingia maktaba kwani kuna maktaba ya shule.

Pia kuna maktaba ya kijiji, ya wilaya, ya mkoa na hata ya taifa, zote hizi kwa ajili ya elimu.

Tags:

Elimu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ShambaUpepoVita Kuu ya Kwanza ya DuniaKidole cha kati cha kandoPalestinaHistoria ya ZanzibarUfugaji wa kukuVitenzi vishirikishi vikamilifuOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaSiafuDalufnin (kundinyota)MahakamaUbungoKifaruWilaya ya ArushaWagogoTiktokUgandaKanga (ndege)Chama cha MapinduziMeta PlatformsNusuirabuHerufiZuchuMaandishiRiwayaBiashara ya watumwaArsenal FCHuduma ya kwanzaInsha ya wasifuMivighaBabeliDivaiKisukuruBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiFasihi simuliziLigi Kuu Uingereza (EPL)Usawa (hisabati)Uzazi wa mpango kwa njia asiliaSimbaNg'ombeTanzaniaWema SepetuMmeaMsamahaIniDuniaNandyMobutu Sese SekoNguzo tano za UislamuKamusiNgw'anamalundiMpira wa mkonoInjili ya MarkoRadiLahajaHekaya za AbunuwasiDawatiMuundo wa inshaFasihiMbadili jinsiaMkoa wa KigomaKalenda ya KiislamuTarbiaMasafa ya mawimbiLugha ya taifaMauaji ya kimbari ya RwandaMaadiliVasco da GamaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa🡆 More