Riwaya

Riwaya (kutoka neno la Kiarabu رواية riwaya ) ni kazi andishi ya fasihi ambayo kwa kawaida ni ndefu kuliko hadithi fupi.

Urefu wa riwaya, maana yake ni kwamba msuko simulizi umejengeka vizuri, kuna wahusika wengi, unaenea muda mrefu, na mada zake ni nzito na pana kiasi.

Riwaya
Riwaya ya Adolphe

Mifano mizuri ya riwaya kwa lugha ya Kiswahili ni Nagona au Mzingile, zilizoandikwa na mwandishi Euphrase Kezilahabi.

Kamusi ya Fasihi iliyotolewa na K. W. Wamitila inataja aina nyingi tofauti za riwaya, k.m. riwaya sahili, riwaya changamano, riwaya kiambo, riwaya ya kibarua na nyingine nyingi.

Utunzi au uandishi wa riwaya

Uhariri wa riwaya

Marejeo

  • Wamitila, Kyallo Wadi (2003), Kamusi ya Fasihi - Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Publications. ISBN 9966-882-79-6
  • Samwel, Method, Selemani Amina na Akech Kabiero (2013), "Ushairi wa Kiswahili: Nadharia, Mifano na Mwongozo kwa Walimu wa Kiswahili," Dar es Salaam: MEVELI Publishers. ISBN: 978-9987-9735-0-7
Riwaya  Makala hii kuhusu mambo ya fasihi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Riwaya kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

FasihiHadithiKiarabuMudaNenoUrefuWahusika

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Muungano wa Tanganyika na ZanzibarUwanja wa WembleyLahajaIstilahiWayahudiHoma ya mafuaMawasilianoDiniMandhariLigi Kuu Tanzania BaraMchwaIndonesiaMohammed Gulam DewjiGudeFonetikiUnju bin UnuqOrodha ya hospitali nchini TanzaniaVirusi vya UKIMWILigi ya Mabingwa AfrikaSteve MweusiShinikizo la ndani ya fuvuMange KimambiAina ya damuMsamiatiKanisa KatolikiMajina ya Yesu katika Agano JipyaLiverpool F.C.WokovuMwanaumeBob MarleyNguzo tano za UislamuKataMatumizi ya LughaJumuiya ya Afrika MasharikiNgono zembeNamba za simu TanzaniaMjombaVita Kuu ya Kwanza ya DuniaNapoleon BonaparteHistoria ya UislamuKomaThrombosi ya kina cha mishipaMkoa wa MbeyaAdolf HitlerSadakaMtaalaMaishaMachweoBendera ya TanzaniaMarekaniKikoromeoKukuVitenzi vishiriki vipungufuMfumo wa nevaMofolojiaBarua rasmiUtashiKrioliAsili ya KiswahiliMapenzi ya jinsia mojaRadiKatibuKamusi za KiswahiliUandishi wa barua ya simuWema SepetuChuo Kikuu cha Dar es SalaamHadithiOrodha ya Marais wa ZanzibarUbongoLugha za KibantuMamba (mnyama)UrusiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoUandishiMbossoMizimu🡆 More