Orodha ya matajiri wakubwa Waafrika (The Richest Africans) ni orodha ya kila mwaka ya matajiri wakubwa kabisa wa Afrika inayoandaliwa na kuchapishwa na gazeti la biashara la Marekani Forbes.
Orodha hii imekuwa ikichapishwa toka mwaka 2015.
Mwanzilishi wa Dangote Group, Aliko Dangote, ndiye namba moja kwenye orodha ya 2018. Mwaka 2018, kuna mabilionea 23 wa Afrika kwenye orodha hiyo.
Na. | Jina | Utajiri (USD) | Umri | Utaifa | Chanzo cha utajiri |
---|---|---|---|---|---|
▬ | 1Aliko Dangote | $10.7 billion | 61 | Nigeria | Dangote Industries. |
▬ | 2Nicky Oppenheimer | $8.8 billion | 73 | Afrika Kusini | diamonds, gold |
3 | Johann Rupert | $7.2 billion | 68 | Afrika Kusini | Telmex, Richemont |
▬ | 4Nassef Sawiris | $6.8 billion | 57 | Misri | Orascom |
▬ | 5Mike Adenuga | $5.3 billion | 65 | Nigeria | Globacom |
▬ | 6Issad Rebrab | $4 billion | 74 | Algeria | CEVITAL Group |
▬ | 7Naguib Sawiris | $4 billion | 64 | Misri | Orascom |
▬ | 8Koos Bekker | $2.8 billion | 65 | Afrika Kusini | Naspers |
▬ | 9Isabel dos Santos | $2.7 billion | 45 | Angola | Investments |
▬ | 10Mohamed Mansour | $2.7 billion | 70 | Misri | Mansour Group |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Orodha ya matajiri wakubwa Waafrika, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.