Vitenzi vishirikishi vikamilifu (alama yake ya kiisimu ni: t) ni maneno ambayo yamekamilika, yaani, hayaambatanishwi na mofimu/ kiambishi / silabi / neno au kitenzi kingine.
Mifano |
---|
|
Vitenzi hivi pia hugawanyika katika makundi madogomadogo.
Kuna mizizi sita ya vitenzi vishirikishi vikamilifu.
Endapo utakuwa na kitenzi cha mzizi wa -kuwa kimesimama/kimekaa peke yake katika sentensi na kimetoa taarifa kamili - basi hicho ni kitenzi kishirikishi.
Hiki ni kitenzi kishirikishi kinachojulisha uyakinishi wa tendo. Kitenzi hiki hujulisha kuwepo kwa uhusiano baina ya vipashio vya lugha.
Hiki ni kitenzi kishirikishi kinachojulisha ukanushi wa tendo. Kitenzi hiki hujulisha kuwepo kwa uhusiano baina ya vipashio vya lugha.
Hivi ni vitenzi vinavyotoa taarifa ya umiliki kwa nomino au kiwakilishi.
Hivi ni vitenzi vinavyotoa taarifa ya mazingira ya tendo husika. Mazingira hayo ni pamoja na kuwa nje, ndani, juu ya, au katika eneo fulani.
Hivi ni vitenzi vinavyobainisha maana ya ngeli ikisimama peke yake.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Vitenzi vishirikishi vikamilifu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Vitenzi vishirikishi vikamilifu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.