Kadi za mialiko ni barua au kadi ziandikwazo kwa dhumuni la kumwalika mtu ahudhurie sherehe au kikao fulani.
Mambo muhimu ya kuzingatia katika uandishi wa kadi za mialiko ni:
Mfano wa kadi ya mwaliko ni hii: Bw. na bi. Kiiza Karugaba wa Bukoba Karagwe wanayo furaha kuwaalika Bw. na Bi., Dr., Mch., Prof. Kelvin Radius kwenye sherehe ya arusi yao itakayofanyika tarehe 17-01-2018 kwenye kanisa la Mt. Josephine Bakhita, Nanenane, saa tisa alasiri, na baadaye nyumbani kwao Bukoba Karagwe saa mbili usiku. Jibu kwa Felix Macheo, S.L.P. 30675 Bukoba.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kadi za mialiko kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kadi za mialiko, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.