Alasiri

Alasiri (kutoka Kiarabu) ni kipindi cha mchana kati ya adhuhuri na jioni, wakati ukali wa mwanga wa jua unapozidi kupungua.

Alasiri
Pwani ya Atlantiki wakati wa alasiri.

Kwa kawaida wakati huo kwa binadamu unafuata mlo: hivyo utendaji wake unapungua pamoja na umakinifu wake. Ndiyo sababu ajali nyingi huwa zinatokea wakati huo.

Dini mbalimbali zenye ratiba ya sala, kwa mfano Ukristo na Uislamu, zina kipindi maalumu kwa alasiri.

Marejeo

  •  
  •  
  •  
  •  
  •  
  •  
  •  

Viungo vya nje

Wiki Commons ina media kuhusu:
Alasiri  Vipindi vya siku Alasiri 

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo

Tags:

AdhuhuriJioniJuaKiarabuMchanaMwanga

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

NominoSalaBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiVidonda vya tumboYoung Africans S.C.Uhifadhi wa fasihi simuliziYerusalemuMethaliNafsiHuzuniUtamaduni wa KitanzaniaMabantuVielezi vya mahaliBawasiriKipepeoKupatwa kwa JuaBendera ya ZanzibarUhakiki wa fasihi simuliziMfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaNelson MandelaUnyanyasaji wa kijinsiaNguvaMorokoUfugaji wa kukuMaumivu ya kiunoGhanaBungeDodoma (mji)Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020MwalimuBabeliNgono zembeHistoria ya KanisaSaidi Salim BakhresaKataUkristo barani AfrikaDemokrasiaAmina ChifupaMsitu wa AmazonDaktariVivumishi vya kuoneshaUzalendoUbunifuDhima ya fasihi katika maishaKadi ya adhabuYouTubeOrodha ya milima mirefu dunianiUmoja wa KisovyetiNabii IsayaMaigizoMartin LutherKiwakilishi nafsiWapogoloHistoria ya KiswahiliIstanbulMbooNomino za kawaidaSikioMuzikiJoseph ButikuRoho MtakatifuDhahabuLilithTanzaniaHistoria ya Kanisa KatolikiKiini cha atomuVivumishiKitenzi kishirikishiInsha za hojaUturukiMlo kamiliMkoa wa KataviNomino za wingiUbuddha🡆 More