Shahawa

Shahawa ni kioevu cha mwili kilichoumbwa ili kubeba spermatozoo ndani yake.

Mchanganyiko wa kioevu hicho na spermatozoo huitwa shahawa pia. Kinatolewa na tezi za shahawa na kwa kadiri ndogo zaidi na kibofushahawa ambazo zote mbili zimo katikati ya fupanyonga. Mchakato unaosababisha kutoka kwa shahawa kwenye kipenyo cha mrija wa mkojo unaitwa kumwaga. Kwa wanadamu kioevu cha shahawa kina vijenzi kadhaa badala ya spermatozoo: vimeng'enya, vinavyomeng'enya protini na molekuli nyingine, pamoja na fruktosi ni sehemu za kioevu vya shahawa ambazo zinasaidia spermatozoo kudumu na kuzipatia chombo ambamo zinaweza kusogea au "kuogelea". Kioevu hicho kimegeuka ili kutolewa ndani kabisa ya kuma, kwa hivyo spermatozoo zinaweza kupita kwenye uterasi na virijaova ili mojawapo iunde zigoti pamoja na yai.

Shahawa
Shahawa ya kibinadamu chini ya hadubini ikionyesha spermatozoo.
Shahawa
Shahawa ya kibinadamu kwenye sahani ya Petri

Tanbihi

Tags:

BinadamuFupanyongaKimeng'enyaKiowevuKipenyoKumaMolekuliMwiliProtiniTeziUterasiYai

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MbuniKombe la Dunia la FIFATovutiSumbawanga (mji)InjiniKiunguliaUkooUhuru wa TanganyikaKiambishiMtume PetroNdovuMimba kuharibikaRayvannyAyoub LakredUandishi wa barua ya simuKitenzi kikuu kisaidiziHoma ya mafuaHeshimaPesaMaumivu ya kiunoKipindupinduCleopa David MsuyaUtamaduniUhakiki wa fasihi simuliziAgano JipyaMkutano wa Berlin wa 1885Fiston MayeleBarua rasmiVivumishi vya pekeeMwanamkeKassim MajaliwaUfinyanziOrodha ya Magavana wa TanganyikaIlemelaAmfibiaNdoaMapambano kati ya Israeli na PalestinaTashihisiNominoDagaaEthiopiaMfumo wa mzunguko wa damuOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaMnyoo-matumbo MkubwaMwezi (wakati)Historia ya WapareBiashara ya watumwaShikamooChatGPTMarekaniImaniSimba S.C.UzalendoAdolf HitlerNafsiWakingaSaratani ya mlango wa kizaziUlemavuMkoa wa NjombeUchawiMuda sanifu wa duniaMaudhui katika kazi ya kifasihiKinyakyusaFasihi andishiUkimwiShujaaRitifaaJinsiaSilabiSayariKenya🡆 More