Hii ni orodha ya tawala za mikoa ya Tanzania katika mpangilio wa: *jumla ya eneo,
Taarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km2]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.
Tanzania Bara (Tanganyika)
(Bofya kwenye pembetatu ndogo kupanga jedwali kwa a-b-c au namba)
Nafasi | Mkoa | Kilomita za mraba |
---|---|---|
1 | Dodoma | 41,311 |
2 | Arusha | 34,516 |
3 | Kilimanjaro | 13,209 |
4 | Tanga | 27,348 |
5 | Morogoro | 73,139 |
6 | Pwani | 32,407 |
7 | Dar es Salaam | 1,393 |
8 | Lindi | 67,000 |
9 | Mtwara | 16,707 |
10 | Ruvuma | 66,477 |
11 | Iringa | 58,936 |
12 | Mbeya | 62,420 |
13 | Singida | 49,437 |
14 | Tabora | 76,151 |
15 | Rukwa | 75,240 |
16 | Kigoma | 45,066 |
17 | Shinyanga | 50,781 |
18 | Kagera | 39,627 |
19 | Mwanza | 35,187 |
20 | Mara | 31,150 |
21 | Manyara | 47,913 |
22 | Njombe | 21,347 |
23 | Katavi | 45,843 |
24 | Simiyu | 25,212 |
25 | Geita | 19,592 |
26 | Songwe | 26,595 |
Tanzania Visiwani (Zanzibar)
Nafasi | Mkoa | Kilomita za mraba |
---|---|---|
27 | Unguja Kaskazini | 470 |
28 | Unguja Kusini | 854 |
29 | Unguja Mjini Magharibi | 230 |
30 | Pemba Kaskazini | 574 |
31 | Pemba Kusini | 332 |
Nafasi | Mkoa | Kilomita za mraba | Maili za mraba |
---|---|---|---|
1 | Tabora | 76,151 | 29,402 |
2 | Morogoro | 70,799 | 27,336 |
3 | Rukwa | 68,635 | 26,500 |
4 | Lindi | 67,000 | 25,869 |
5 | Ruvuma | 63,498 | 24,517 |
6 | Mbeya | 60,350 | 23,301 |
7 | Iringa | 56,864 | 21,955 |
8 | Shinyanga | 50,781 | 19,607 |
9 | Singida | 49,342 | 19,051 |
10 | Manyara | 46,359 | 17,899 |
11 | Dodoma | 41,311 | 15,950 |
12 | Kigoma | 37,037 | 14,300 |
13 | Arusha | 33,809 | 13,054 |
14 | Pwani | 32,407 | 12,512 |
15 | Kagera | 28,388 | 10,961 |
16 | Tanga | 27,348 | 10,351 |
17 | Mwanza | 20,095 | 7,759 |
18 | Mara | 19,566 | 7,554 |
19 | Mtwara | 16,707 | 6,451 |
20 | Kilimanjaro | 13,209 | 5,100 |
21 | Dar es Salaam | 1,393 | 538 |
22 | Mkoa wa Unguja Kusini | 854 | 330 |
23 | Mkoa wa Pemba Kaskazini | 574 | 222 |
24 | Mkoa wa Unguja Kaskazini | 470 | 181 |
25 | Mkoa wa Pemba Kusini | 332 | 128 |
26 | Unguja Mjini Magharibi | 230 | 89 |
Angalizo: Taarifa zinazopatikana ni za mikoa kumi na mbili tu. Mikoa mingine iliyobakia haina maziwa yenye maana au umuhimu au vyanzo vya maji.
Nafasi | Mkoa | Kilomita za mraba | Maili za mraba | Asilimia ya Maji |
---|---|---|---|---|
1 | Mwanza | 15,092 | 5,827 | 42.9 |
2 | Kagera | 11,239 | 4,339 | 28.4 |
3 | Mara | 10,584 | 4,087 | 34.0 |
4 | Kigoma | 8,029 | 3,100 | 17.8 |
5 | Rukwa | 6,605 | 2,550 | 8.8 |
6 | Ruvuma | 2,979 | 1,150 | 4.5 |
7 | Morogoro | 2,340 | 903 | 3.2 |
8 | Iringa | 2,072 | 800 | 3.5 |
9 | Mbeya | 2,070 | 799 | 3.3 |
10 | Manyara | 1,554 | 600 | 3.2 |
11 | Arusha | 707 | 273 | 2.1 |
12 | Singida | 95 | 37 | 0.2 |
Taarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania bara zinatolewa na Utoaji wa Takwimu 2011, Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania Archived 5 Novemba 2013 at the Wayback Machine.. Taarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania visiwani, yaani, Unguja na Pemba hutolewa na Regions of Tanzania, Statoids.
Kwa takwimu za kisasa angalia 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania, Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.