Matumizi Ya Lugha Ya Kiswahili

Matumizi ya lugha ya Kiswahili ni kama ifuatavyo.

1. Kiswahili hutumika katika kufundishia shule za msingi isipokuwa lugha ya Kiingereza hufundishwa kama somo.

2. Kiswahili hutumika katika vyombo vya habari, mfano redio na runinga.

3. Kiswahili hutumika katika nyanja mbalimbali za kiserikali, mfano Mahakama ya mwanzo na ya kati.

4. Pia Kiswahili hutumika kama somo katika shule za sekondari hadi chuo kikuu.

5. Kiswahili hutumika katika shughuli za michezo mbalimbali.

6. Kiswahili hutumika katika nyumba za ibada kutolea mawaidha na mahubiri, mfano kanisani na msikitini.

7. Pia Kiswahili hutumika katika shughuli za kibiashara kama lugha ya mawasiliano miongoni mwa watu.

8. Kiswahili hutumika katika shughuli za kiofisi.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mwanzo (Biblia)MuhammadVita ya Maji MajiMakabila ya IsraeliJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaMichoro ya KondoaMariooJuxMapenziSaidi NtibazonkizaVokaliPunyetoMisimu (lugha)Ligi ya Mabingwa UlayaTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya TanzaniaElimuMaambukizi nyemeleziOrodha ya miji ya TanzaniaKiini cha atomuWanyamaporiMarie AntoinetteWangoniKabilaFonolojiaHafidh AmeirWahangazaTamthiliaOrodha ya vitabu vya BibliaNg'ombeOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaJipuVladimir PutinHoma ya mafuaKonokonoTendo la ndoaViunganishiVita Kuu ya Kwanza ya DuniaTausiMtume PetroMwanzoFonimuOrodha ya Marais wa UgandaMshororoWasukumaMkoa wa MbeyaKitenzi kikuu kisaidiziRupie ya Afrika ya Mashariki ya KijerumaniPapaKibwagizoMivighaLigi ya Mabingwa AfrikaWabondeiMafumbo (semi)MajigamboKiambishi tamatiMkoa wa ManyaraHadubiniLugha za KibantuTarafaJogooMoshi (mji)RisalaNikki wa PiliBahatiSkeliMkoa wa MorogoroMadhehebuLongitudoMkoa wa KigomaAlomofuBunduki🡆 More