Rushwa (pia: chai, chauchau, chichiri, chirimiri, hongo, kadhongo, kiinikizo, kilemba, mlungula, mrungura, mvungulio n.k.) ni aina ya mwenendo usio wa uaminifu au usiofaa kwa mtu aliyepewa mamlaka, kumbe anatumia nafasi hiyo ili kupata faida binafsi.
Ufisadi unaweza kuhusisha shughuli nyingi ikiwa ni pamoja na rushwa na udhalimu, ingawa inaweza pia kuhusisha mazoea ambayo ni ya kisheria katika nchi nyingi.
Upande wa serikali, au kisiasa, rushwa hutokea wakati mmiliki wa ofisi au mfanyakazi mwingine wa serikali anafanya kazi rasmi kwa faida binafsi.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rushwa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Rushwa, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.