Andalio la somo (kwa Kiingereza: lesson plan) ni mpangilio au hatua zinazofuatwa na mwalimu wakati wa kufundisha somo fulani darasani.
Mwalimu anapaswa kuandaa andalio la somo kabla na hata wakati wa mchakato mzima wa kufundisha.
i) Huonesha malengo ambayo mwalimu anatarajia kuyafikia katika kipindi.
ii) Humpa mwalimu mwongozo wa kufuata hatua kwa hatua wakati anafundisha darasani.
iii) Humuonesha mwalimu sehemu za somo za kuulizia maswali, kutumia zana au kuhusisha wanafunzi katika vipindi.
iv) Hutumika wakati wa mwalimu kukaguliwa na kuangalia yale aliyoyafundisha darasani na matarajio yako baada ya kufundisha.
i) Jina la somo
ii) Tarehe, darasa, muda wa kipindi na idadi ya wanafunzi.
iii) Mada kuu
iv) Mada ndogo
v) Malengo ya somo
vi) Vifaa vya kufundishia na kujifunzia
vii) Vitabu vya rejea
viii) Uwasilishaji wa somo hatua kwa hatua
ix) Kazi za mwalimu na za wanafunzi
x) Maoni kuhusu mafanikio au matatizi yaliyojitokeza wakati wa kipindi
xi) Tathmini
xii) Mazoezi ya wanafunzi
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Andalio la somo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Andalio la somo, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.