Saratani ya mlango wa kizazi ni aina ya saratani inayoshambulia seli/chembechembe zilizomo ndani ya ngozi laini inayozunguka shingo ya kizazi.
Saratani ya shingo ya kizazi huanza na kuendelea kwa muda mrefu bila kuonesha dalili zozote. Dalili ambazo zinaweza kujitokeza wakati ugonjwa upo katika hatua za mwisho ni:
Shingo ya kizazi (‘cervix’) ni sehemu ya kizazi kati ya uke na mji wa mimba. Sehemu hii ina kazi nyingi ikiwemo;
Chanzo cha saratani ya kizazi husababishwa na aina ya virusi vinavyoitwa ‘Human Papilloma Virus’ (HPV), ambavyo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana na mtu mwenye maambukizi.
Kuna tabia au hali hatarishi ambazo zinachangia mtu kupata saratani ya shingo ya kizazi, tabia/vitu hivyo ni pamoja na;
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Saratani ya mlango wa kizazi kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Saratani ya mlango wa kizazi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.