Mkoa wa Kilimanjaro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 25000.
Mkoa wa Kilimanjaro | |
Mahali pa Mkoa wa Kilimanjaro katika nchi ya Tanzania | |
Majiranukta: 3°20′S 37°20′E / 3.333°S 37.333°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Moshi |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | |
Eneo | |
- Jumla | 13,209 km² |
Idadi ya wakazi (2022) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,861,934 |
Tovuti: http://www.kilimanjaro.go.tz/ |
Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu kupita yote barani Afrika, umo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro. Jina la mlima huu ndilo limeupatia mkoa jina lake.
Mkoa wa Kilimanjaro umepakana na Kenya upande wa kaskazini, Mkoa wa Tanga upande wa kusini na mikoa ya Manyara na Arusha upande wa magharibi.
Mkoani Kilimanjaro kuna wakazi wapatao 1,861,934 (sensa ya mwaka 2022.).
Makabila makubwa mkoani humo ni Wachagga, Wagweno na Wapare, ambapo pia kuna makabila mengine madogomadogo kama Wamasai na Wakamba.
Makao makuu ya mkoa huu ni Moshi.
Katika sekta ya elimu wakazi wameendelea kidogo kwa maeneo ya mjini, lakini katika sehemu za vijijini elimu bado inatetereka kwa kiasi kikubwa, maana teknolojia ya utandawazi katika eneo kubwa haijashamiri.
Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya 7 ambazo ni: Hai, Mwanga, Moshi mjini, Moshi vijijini, Rombo na Same na ile mpya ya Siha.
Ramani | Wilaya au manisipaa | Wakazi (2022) | Tarafa | Kata | Kijiji | Eneo km² |
---|---|---|---|---|---|---|
Wilaya ya Hai | 240,999 | 17 | 1,217 | |||
Wilaya ya Moshi Vijijini | 535,803 | 32 | 1,300 | |||
Wilaya ya Moshi Mjini | 331,733 | 21 | 63 | |||
Wilaya ya Mwanga | 148,763 | 20 | 1,831 | |||
Wilaya ya Rombo | 275,314 | 28 | 1,471 | |||
Wilaya ya Same | 300,303 | 34 | 6,221 | |||
Wilaya ya Siha | 139,019 | 17 | 1,217 | |||
Jumla | 1,861,934 | 152 | 13,209 | |||
Wilaya ya Siha hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Hai. | ||||||
Marejeo: Mkoa wa Kilimanjaro |
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2020 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kilimanjaro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkoa wa Kilimanjaro, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.