Chombo cha majini au chombo cha usafiri kwenye maji ni kitu kinachotumiwa kusafiria kwenye maji kama vile baharini, mtoni au ziwani.
Vyombo hivyo vinapatikana vidogo na vikubwa vikiitwa mtumbwi, boti, mashua, mtepe, jahazi au meli; vikitumiwa kuvusha abiria au mizigo kwa umbali mdogo huitwa feri.
Vyombo vya maji vinatofautishwa pia kutokana na jinsi zinavyoendeshwa majini, kwa mfano
Kihistoria vyombo vya majini vilitengenezwa hasa kwa kutumia ubao au pia mata kavu nyingine kama matete. Tangu karne ya 19 metali, na hasa chuma kilitumiwa kilichoruhusu kujenga meli kubwa.
Katika karne ya 20 mara nyingi aina za plastiki zilichukua nafasi ya ubao kwa vyombo vya majini vidogo zaidi.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Chombo cha usafiri kwenye maji, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.