Rasi Ya Baja Kalifornia

Rasi ya Baja California (tamka ba-kha ka-li-for-ni-a, au Kalifornia ya chini) ni rasi ya Amerika Kaskazini.

Iko kaskazini-magharibi mwa Mexico.

Rasi Ya Baja Kalifornia
Rasi ya Baja California (nyekundu)

Urefu wake ni kilomita 1,250 kutoka kaskazini hadi Cabo San Lucas upande wa kusini. Rasi hii inatenganisha Bahari ya Pasifiki kutoka Ghuba ya Kalifornia.

Majimbo ya Mexiko ya Baja California Sur na Baja California yanapatikana kwenye rasi hiyo.

Eneo lake ni km2 143,396.

Tovuti nyingine

Rasi Ya Baja Kalifornia  Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rasi ya Baja Kalifornia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Amerika ya KaskaziniKaskaziniMagharibiMexikoRasi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AlasiriKitabu cha ZaburiMsalabaOrodha ya shule nchini TanzaniaMongoliaMagonjwa ya kukuHoma ya matumboSalamu MariaMsukuleTreniKihusishiVitendawiliMbeguVivumishi vya kumilikiMkoa wa TangaWahaNyweleMwenge wa UhuruFamiliaOrodha ya Magavana wa TanganyikaKiwakilishi nafsiRushwaBendera ya KenyaRita wa CasciaChuraWahayaJustin BieberKendrick LamarVitenzi vishiriki vipungufuHarmonizeNafsiFasihiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiShairiMkoa wa MorogoroVita Kuu ya Kwanza ya DuniaBurundiMfumo wa mzunguko wa damuSaratani ya mlango wa kizaziShomari KapombeBoris JohnsonFutariPasaka ya KikristoLugha ya programuInjili ya YohaneVivumishiNairobiUingerezaIsa2 AgostiKichochoJumuiya ya MadolaKamusi elezoMishipa ya damuMbogaWhatsAppXXUsultani wa ZanzibarMkanda wa jeshiMuungano wa Tanganyika na ZanzibarKima (mnyama)Dodoma (mji)NyegereMohamed HusseinVihisishiMaana ya maishaMalariaUtapiamloKitovuSkeliUbuntuUbuyuPasaka ya KiyahudiJipu🡆 More