Mboga ni sehemu za mimea zinazopikwa na kuliwa kama chakula cha kibinadamu.
Kwa kawaida tunda, jozi, mbegu au nafaka hazihesabiwi kati ya mboga.
Mifano ya mboga ni:
Chakula cha mboga chaingiza vitamini na madini muhimu katika mwili.
*
Kwa kawaida huliwa baada ya kupikwa ingawa kuna aina zinazoliwa bichi pia kwa mfano karoti.
Mboga zamajani ni sehemu muhimu ya lishe bora na zenye afya. Matumizi yake yanaweza kuwa katika saladi, supu, sautés, na Ni njia nzuri ya kuongeza virutubisho kwenye lishe yako.
Majani mengine huliwa bichi kama ni laini sana na ladha inapendeza yanaitwa saladi. Mchanganyiko wa nyanya, vitunguu na pilipili ni kachumbari. Saladi na kachumbari huongezwa mara nyingi mafuta, chumvi na asidi ya limau au siki kwa ladha.
Mboga hutazamiwa kama sehemu ya chakula pamoja na ugali, ndizi au wali ambayo ni chakula cha kushibisha. Kutokana uzoefu huu wakati mwingine hata nyama huitwa "mboga" kwa maana ni chakula cha kando pamoja na ugali n.k.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mboga kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mboga, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.