Bendera ya Kenya ilizinduliwa rasmi tarehe kumi na mbili Desemba, mwaka wa 1963.
Use | National Bendera and civil and state ensign |
---|---|
Proportion | 2:3 |
Design | A white-fimbriated horizontal tricolour of black, red, and green charged with two crossed white spears behind a red, white, and black Maasai shield. |
Variant flag of Kenya | |
Use | Naval ensign |
Design | A white field with the national flag in the canton and a large red anchor in the fly. |
Bendera ya Kenya ina msingi katika bendera ya muungano wa kitaifa wa Kenya African. Rangi zinaashiria weusi wengi wenyeji , nyekundu ni damu iliyomwagwa wakati wa mapambano ya uhuru, na kijani kibichi ni mali asili; mikanda meupe yaliongezwa baadaye na yanasimamia amani. Ngao nyeusi, nyekundu, na nyeupe ya jadi ya Kimaasai na mikuki miwili yanaashiria ulinzi wa mambo yote yaliyotajwa hapo juu.
Rangi za bendera zimebuniwa na Hifadhi ya Taifa ya Kenya.
Mfuko | Nyekundu | Kijani kibichi |
---|---|---|
Rangi Rasmi za Uingereza | Nyekundu ya Posta 0-006 | 0-010 |
Bendera ya Kenya imejikita kwenye bendera nyeusi juu ya nyekundu juu ya kijani ya chama cha KANU, chama cha siasa kilichoongoza mapambano ya uhuru wa Kenya. Baada ya uhuru, mikanda meupe, inayoashiria amani na umoja, na ngao zikaongezwa.
Makala Bendera-related bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Bendera ya Kenya, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.