Ligi Kuu Tanzania Bara (kwa Kiingereza: Tanzanian Premier League) ni ligi ya kiushindani ya juu kabisa nchini Tanzania, inasimamiwa na shirikisho la soka nchini Tanzania TFF.
Ilianzishwa mwaka 1965, kipindi hicho ikijulikana kama "Ligi ya Taifa". Jina hilo lilibadilishwa kuwa "Ligi Daraja la kwanza" na tena ikabadilishwa kuwa ‘’Ligi Kuu’’ mnamo mwaka 1997.
Nchi | Tanzania |
---|---|
Confederation | Confederation of African Football |
Ilianzishwa | 1963 |
Idadi ya timu | 18 |
Kushushwa hadi | Tanzanian First Division League |
Levels on pyramid | 1 |
Makombe ya nyumbani | Azam Sports Federation Cup |
Makombe ya Kitaifa | CAF Champions League CAF Confederation Cup |
Current champions | [[Yanga S.C.]] (2022–23) |
Ubingwa wa Juu zaidi | Yanga S.C. (29) |
Tovuti | tff.or.tz/ligi-kuu-tanzania-bara/ |
2023–24 Tanzanian Premier League |
Kuanzia msimu wa 2018/19, ligi hiyo ilikua na klabu 20 zilizocheza mashindano ya mizunguko miwili. Klabu iliyoshika nafasi ya kwanza mwisho wa msimu ilishiriki mashindano ya klabu bingwa barani Afrika (Confederation of African Football (CAF) Champions League) msimu uliofuata.
Kuanzia msimu wa 2015/16, mshindi katika mashindano ya Azam Sports Federation Cup alifuzu kushiriki mashindano ya (CAF Confederations Cup), kabla ya mabadiliko hayo, alieshika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ndiye aliyefuzu kushiriki mashindano ya Shirikisho barani Afrika.
Walioshika nafasi tatu za mwisho katika ligi kuu walishuka daraja kushiriki ligi daraja la kwanza kwa msimu uliofuata.
Timu zifuatazo zilishiriki katika mashindano ya msimu wa 2020/21 Ligi kuu Tanzania Bara.
Timu zifuatazo zilishiriki katika mashindano ya msimu wa 2018/19 Ligi kuu Tanzania Bara.
Timu zifuatazo zilishiriki katika mashindano ya msimu 2016/17 Ligi kuu Tanzania Bara:
Timu zifuatazo zilishiriki katika mashindano ya msimu 2015/16 Ligi kuu Tanzania Bara:
Klabu ya Yanga Sc ilishinda taji la ligi kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2014/15. Azam F.C. ilishika nafasi ya pili ikifuatiwa na [[Simba S.C.]] iliyoshika nafasi ya tatu na Mbeya City F.C. ikishika nafasi ya nne. Mfungaji bora kwa msimu huo alikua ni Simon Msuva kutoka klabu ya Yanga Sc.
Timu zifuatazo zilishiriki katika ligi:
Timu zifuatazo zilishiriki ligi kuu Tanzania bara kwa msimu wa 2013/14:
Timu zifuatazo zilishiriki katika ligi:
Timu zifuatazo zilishiriki katika ligi:
Timu 12 zifuatazo zilishiriki katika ligi:
Klabu zilizowahi kushinda mataji ya ligi kuu Tanzania bara ni:
Jina la Klabu | Washindi |
---|---|
Yanga Sc | 26 |
Simba S.C. (inajumuisha Sunderland) | 22 |
Mtibwa Sugar F.C. | 2 |
Tukuyu Stars S.C. | 1 |
Pan African S.C. | 1 |
Azam F.C. | 1 |
Cosmopolitans F.C. | 1 |
Mseto Sports S.C. | 1 |
Coastal Union S.C. | 1 |
section hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zisizowekewa vyanzo zinaweza kuwekewa alama na kuondolewa. (Novemba 2017) |
Mwaka | Alama Bora | Klabu | Magoli | |
1997 | Mohamed Hussein "Mmachinga" | Yanga S.C.| | 26 | |
2004 | Abubakar Ally Mkangwa | Mtibwa Sugar F.C. | ||
2005 | Abdallah Juma | Mtibwa Sugar F.C. | 25 | |
2006 | n/a | n/a | ||
2007 | Mashiku | SC United FC | 17 | |
2007–08 | Michael Katende | Kagera Sugar F.C. | ||
2008–09 | Boniface Ambani | Yanga S.C. | 18 | |
2009–10 | Musa Hassan Mgosi | Simba S.C. | 18 | |
2010–11 | Mrisho Ngasa | Azam F.C. | 18 | |
2011–12 | John Raphael Bocco | Azam | 19 | |
2012–13 | Kipre Tchetche | Azam F.C. | 17 | |
2014–15 | Simon Msuva | Yanga S.C. | 17 | |
2017-18 | Emmanuel Okwi | Simba S.C. | 20 | |
2018-19 | Meddie Kagere | Simba S.C. | 22 | |
2019–20 | Meddie Kagere | Simba | 22 | |
2020–21 | John Bocco | Simba | 16 | |
2021-22 | George Mpole | Yanga S.C. | 17 |
|-
|
Algeria · Angola · Benin · Botswana · Burkina Faso · Burundi · Cameroon · Cape Verde · Central African Republic · Chad · Comoros · Congo · DR Congo · Djibouti · Egypt · Equatorial Guinea · Eritrea · Ethiopia · Gabon · Gambia · Ghana · Guinea · Guinea-Bissau · Ivory Coast · Kenya · Lesotho · Liberia · Libya · Madagascar · Malawi · Mali · Mauritania · Mauritius · Morocco · Mozambique · Namibia · Niger · Nigeria · Réunion Island† · Rwanda · São Tomé and Príncipe · Senegal · Seychelles · Sierra Leone · Somalia · South Africa · Sudan · Swaziland · Tanzania · Togo · Tunisia · Uganda · Zambia · Zanzibar† · Zimbabwe | |
† Associated members |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ligi Kuu Tanzania Bara, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.