Dhamira (kutoka neno la Kiarabu) katika fasihi ni lengo, nia au kusudio alilolikusudia msanii wa kazi ya fasihi kufikisha kwa hadhira yake.
Kwa mfano, msanii anaweza kutunga wimbo ambao ukawa unajadili madhara ya pombe. Hivyo, madhara ya pombe ni dhamira ya msanii huyo. Katika fasihi, dhamira zipo za aina mbili: kuna dhamira kuu na dhamira ndogondogo.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dhamira kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Dhamira, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.