Eire Kaskazini: Nchi ya visiwa katika Ulaya Kaskazini-Magharibi, sehemu ya Ufalme wa Muungano

Eire Kaskazini ni eneo la kaskazini mashariki la kisiwa cha Ireland ambalo limo katika Ufalme wa Muungano, tofauti na sehemu kubwa ya kisiwa hicho iliyopata uhuru mwaka 1921.

Ni kwamba baada ya Vita vya uhuru vya Eire bunge la London kwa sheria ya mwaka 1920 (Government of Ireland Act 1920) liligawa Ireland katika sehemu mbili za Northern Ireland na Southern Ireland.

Wabunge waliochaguliwa katika Ireland ya Kusini walijitangaza kuwa bunge la Eire na kwa mapatano ya mwaka 1922 uhuru wa Eire ulitambuliwa. Nchi mpya ilijiita tangu 1937 "Jamhuri ya Eire" na kuendelea kama nchi ya pekee. Mikoa ya Northern Ireland iliendelea kuwa sehemu za Ufalme wa Muungano.

Ndani yake, mwaka 1999 Uskoti, Welisi na Ireland ya Kaskazini zilirudishiwa mabunge yao ya pekee.

Kadiri ya sensa ya mwaka 2021, wakazi ni 1,903,100 wanaoishi katika km2 14,130.

Wengi wao ni Wazungu (96.6%), wakifuatwa na Waafrika (0.6%), Wahindi (0.5%) na Wachina (0.5%).

Kiingereza ni lugha mama kwa asilimia 95.4 za wakazi.

Upande wa dini, wengi ni Wakristo (76.6%), hasa Wakatoliki (42.3%) na Waprotestanti wa madhehebu mbalimbali (37.3%). Wenye dini tofauti ni 1.3%, wakati 17.4% hawana dini yoyote au hawakujibu swali.

Tanbihi

Marejeo

  • Jonathan Bardon, A History of Ulster (Blackstaff Press, Belfast, 1992), ISBN|0-85640-476-4
  • Brian E. Barton, The Government of Northern Ireland, 1920–1923 (Athol Books, 1980)
  • Paul Bew, Peter Gibbon and Henry Patterson The State in Northern Ireland, 1921–72: Political Forces and Social Classes, Manchester (Manchester University Press, 1979)
  • Tony Geraghty (2000). The Irish War. Johns Hopkins University Press. ISBN 978-0-8018-7117-7.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  • Robert Kee, The Green Flag: A History of Irish Nationalism (Penguin, 1972–2000), ISBN|0-14-029165-2
  • Osborne Morton, Marine Algae of Northern Ireland (Ulster Museum, Belfast, 1994), ISBN|0-900761-28-8
  • Henry Patterson, Ireland Since 1939: The Persistence of Conflict (Penguin, 2006), ISBN|978-1-84488-104-8
  • P. Hackney (ed.) Stewart's and Corry's Flora of the North-east of Ireland 3rd edn. (Institute of Irish Studies, Queen's University of Belfast, 1992), ISBN|0-85389-446-9 (HB)

Viungo vya nje

Tags:

1921IrelandKaskaziniKisiwaMasharikiUfalme wa MuunganoUhuru

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Elementi za kikemiaKiwakilishi nafsiMagonjwa ya machoKipandausoMoyoMajira ya baridiShirikisho la MikronesiaHistoria ya Kanisa KatolikiMkoa wa SingidaMaajabu ya duniaNgonjeraMautiUkristoAina za ufahamuNg'ombeNgw'anamalundi (Mwanamalundi)MbeguMuundo wa inshaUkooAfyaOrodha ya Marais wa ZanzibarKunguruOrodha ya viongoziMkoa wa KataviVidonge vya majiraKanisa KatolikiVincent KigosiMichezoAmaniProtiniVitenzi vishiriki vipungufuTungoUenezi wa KiswahiliMuzikiMpira wa miguuMahindiMzabibuTumainiYouTubeMunguOsama bin LadenMagonjwa ya kukuUzazi wa mpango kwa njia asiliaBinadamuUnyenyekevuPijini na krioliOrodha ya Marais wa TanzaniaUkwapi na utaoSiasaMethaliJamhuri ya Watu wa ZanzibarOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMapinduzi ya ZanzibarTai (maana)RohoPopoDodoma (mji)Jumuiya ya Afrika MasharikiUkabailaOrodha ya Marais wa KenyaWayahudiLugha ya piliVivumishi vya ambaAli Mirza WorldRamaniMahakamaElimuNdoa katika UislamuDhahabuRushwaArusha (mji)Vipaji vya Roho MtakatifuUsawa (hisabati)Afrika KusiniNamba tasaUpinde wa mvuaVitendawiliNguvuBaraza la mawaziri Tanzania🡆 More