Jiji

Jiji ni mji mkubwa.

Kuna tofauti kati ya nchi na nchi wakati wa kueleza ni sifa gani pamoja na ukubwa gani vinavyofanya mji kuwa mji mkubwa au jiji.

Jiji
Jiji la New York ni maarufu kwa maghorofa yake marefu.
Jiji
Rio de Janeiro ni jiji maarufu kwa uzuri wake lakini sehemu ya wakazi wake hukalia mitaa ya vibanda.
Jiji
Jiji la Tampere nchini Ufini.

Mji mkubwa kwa kanuni za takwimu

Kimataifa kulikuwa na makubaliano kwenye mkutano wa kimataifa wa takwimu ya mwaka 1887 ya kuhesabu kila mji wenye wakazi zaidi ya 100,000 kama "mji mkubwa", miji kati ya wakazi 20,000 na 100,000 kama miji ya wastani na ile kati ya wakazi 5,000 na 20,000 kama miji midogo. Kufuatana na hesabu hiyo kulikuwa na miji mikubwa 1,700 duniani mnamo mwaka 2002.

Majiji ya Afrika ya Mashariki

Nchini Tanzania ni Dar es Salaam pamoja na Arusha, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga, inayoitwa "jiji"; nchini Kenya ni Nairobi pamoja na Mombasa na Kisumu. Kati ya miji hiyo ni Nairobi na Dar es Salaam pekee yenye wakazi zaidi ya milioni mbili.

Majiji makubwa ya Afrika

Jiji 
Lagos kutoka angani.
Jiji 
Kairo.
Jiji 
Kinshasa - Brazzaville.

Tags:

Mji

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

JiniViwakilishi vya sifaMapinduzi ya ZanzibarKinjikitile NgwaleVita Kuu ya Kwanza ya DuniaAndalio la somoUfilipinoUaOrodha ya milima ya TanzaniaKamusi za KiswahiliMtiSumakuVivumishi vya idadiMkoa wa IringaVieleziMahakama ya TanzaniaMjasiriamaliWaluguruMasadukayoHadithi za Mtume MuhammadShinikizo la juu la damuJakaya KikweteHekimaNyegeKishazi huruOrodha ya Marais wa TanzaniaPumuOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMaudhuiUshairiBarabaraKisimaMapenziUgonjwa wa uti wa mgongoKilimoKhadija KopaHistoria ya KenyaSimba S.C.Vipera vya semiKitomeoSeli za damuKassim MajaliwaBenki ya DuniaClatous ChamaMatendeMbweni, KinondoniIsraelFani (fasihi)JinaMizunguJamhuri ya Watu wa ZanzibarRoho MtakatifuNetiboliKanisaUandishi wa barua ya simuWairaqwAzam F.C.NdovuMoyoSoko la watumwaEdward SokoineMachweoRamaniTungo kishaziMobutu Sese SekoUkoloniVita vya Kagera🡆 More