Jenasi

Jenasi (kutoka Kigiriki Γένος genos / Kilatini genus nasaba, ukoo, familia, aina) ni ngazi katika uainishaji wa kisayansi unaopanga viumbehai (mimea, wanyama) katika vikundi kulingana na nasaba zao.

Jenasi
Ngazi za uainishaji katika biolojia; ngazi ndogo za kati hazionyeshwi

Jenasi moja huwa na spishi ndani yake. Jenasi kwa pamoja hupangwa katika familia.

Katika jina la Kisayansi la kiumbehai ni lazima kutaja jenasi. Kwa mfano paka anaitwa "Felis silvestris catus". Felis ni jina la jenasi. Jenasi huandikwa kwa herufi kubwa.

Maelezo

Jenasi  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jenasi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KigirikiKilatiniMimeaUainishaji wa kisayansiViumbehaiWanyama

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Aina za udongoTamathali za semiTambikoGhuba ya UajemiDamuPumuKilimanjaro (volkeno)AlfabetiUbunifuKidole cha kati cha kandoNileMashariki ya KatiUyahudiFonimuNathariKina (fasihi)Usafi wa mazingiraHistoria ya AfrikaSentensiKinembe (anatomia)MmeaIsraelMkoa wa Dar es SalaamFananiBungeVita vya KageraJoziHistoria ya Kanisa KatolikiMajiBiasharaViungo vinavyosafisha mwiliMkataba wa Helgoland-ZanzibarInsha za hojaJamiiUtamaduni wa KitanzaniaBurundiWadatogaSelemani Said JafoHistoria ya ZanzibarRohoWilaya ya KinondoniMapinduzi ya ZanzibarKitunda (Ilala)KukuRushwaRose MhandoMorogoro VijijiniChemsha BongoVielezi vya namnaIsimujamiiMkoa wa ShinyangaLugha ya taifaTanzaniaViwakilishiKihusishiUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaMsamahaPopoMatiniHistoria ya UislamuMaarifaKhadija KopaOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaRwandaDhahabuMahindiWabunge wa kuteuliwaUhuru wa TanganyikaWilaya ya IlalaMaishaFasihi simuliziDoto Mashaka BitekoManchester United F.C.Kimara (Ubungo)🡆 More