Thaura

Thaura (kutoka neno la Kiarabu) ni aina ya mapinduzi ambapo serikali hugeuzwa na jeshi au watu wanaohusiana na serikali bila wananchi kwa jumla kushiriki. 

Aina

Majibu ya kimataifa

Mashirika kama vile Umoja wa Afrika na Ushirika wa Nchi za Amerika yamepitisha mifumo ya kupambana na mapinduzi ya kijeshi. Kupitia tishio la vikwazo, mashirika hayo hujaribu kukabiliana na mapinduzi ya kijeshi. Utafiti wa mwaka 2016 umegundua kuwa Umoja wa Afrika unachukua hatua za maana katika kupunguza thaura katika bara la Afrika.

Marejeo

Tags:

JeshiKiarabuMapinduziNenoSerikali

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Virusi vya UKIMWIYoweri Kaguta MuseveniSemantikiMarekaniSerikaliHektariMmeaRiwayaJinsiaMsibaSentensiWimboMaambukizi ya njia za mkojoChombo cha usafiriRushwaTovutiUmaUtenzi wa inkishafiAlama ya uakifishajiHadithi za Mtume MuhammadAlhamisi kuuMkoa wa RukwaDaudi (Biblia)MnyamaMafuta ya wakatekumeniDawa za mfadhaiko27 MachiSikukuuMkoa wa MbeyaLigi ya Mabingwa AfrikaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)Jumuiya ya Afrika MasharikiUlayaKiboko (mnyama)Justin BieberMkoa wa KilimanjaroJiniBungeBoris JohnsonKidole cha kati cha kandoMichezo ya watotoMakabila ya IsraeliWenguMbogaStadi za lughaKuraniMikoa ya TanzaniaIjumaa KuuKalenda ya KiyahudiShengNeemaMashariki ya KatiTiba asilia ya homoniInshaOrodha ya mikoa ya Tanzania na MaendeleoLatitudoUkatiliShairiMkoa wa ShinyangaMkoa wa NjombeKitenzi kikuu kisaidiziViwakilishi vya urejeshiAnna MakindaWamasaiAfyaKishazi tegemeziOrodha ya programu za simu za WikipediaOrodha ya Magavana wa TanganyikaAlomofuTendo la ndoaHistoria ya uandishi wa QuraniUkombozi🡆 More