Kathmandu (kwa Kinepali: काठमाडौं, काठमान्डु) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Nepal wenye wakazi milioni 1.5. Iko katika bonde la Kathmandu kando ya mto Bagmati kwenye milima ya Himalaya kwa kimo cha mita 1,300. Miji ya Patan na Bhaktapur iko karibu. Mahali pake ni 27°43′N 85°22′E.
Jiji la Kathmandu | |
Nchi | Nepal |
---|
Mji una mahekalu mengi mazuri ya Uhindu na Ubuddha pamoja na nyumba za kihistoria. Bonde lote la Kathmandu liliingizwa na UNESCO katika orodha ya urithi wa dunia.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kathmandu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kathmandu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.