Alama ya barabarani ni alama inayowekwa kwenye nguzo kando ya barabara ili kutoa habari, onyo au elekezo kwa watu wanaopita hapo kwa vyombo vya usafiri au kwa miguu.
Alama ya barabarani hutumia picha au matini mafupi ya neno moja au maneno machache kwa madereva au watumiaji wengine wa barabara.
Alama hizo huainishwa hivi:
Kwa kawaida alama za barabarani hutumia umbo sanifu na kufuata utaratibu wa kisheria zikiwa pia na nguvu ya kisheria. Wakati mwingine kuna pia alama zilizotengenezwa na kusimamishwa kimahali ambazo zinaonekana tofauti.
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Alama ya barabarani kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Alama ya barabarani, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.