Msokoto Wa Watoto Wachanga

Msokoto wa watoto wachanga (pia inajulikana kama koliki kutoka Kiingereza Baby colic) ni hali ambayo afya ya mtoto huathiriwa hata kumfanya alie mara nyingi na kwa vipindi bila sababu.

Baby colic
Mwainisho na taarifa za nje
SpecialtyPediatrics Edit this on Wikidata
ICD-10R10.4
ICD-9789.0
MedlinePlus000978
eMedicineped/434
MeSHD003085

Hali hiyo kwa kawaida inaonekana wiki tatu baada ya kuzaliwa na karibu kutoweka mara nyingi kabla ya mtoto kufika umri wa miezi minne. Kilio mara nyingi hutokea wakati maalum wa siku, hasa jioni.

Sababu

Uchunguzi mbalimbali umeonyesha kuwa watoto wachanga wana msokoto huo kutokana na ukosefu wa Lactobacillus acidophilus.

Tiba

Kihistoria, na hadi hivi karibuni, msokoto mara nyingi hutibiwa na paregoric, lakini wanasayansi huonya kwamba uchunguzi zaidi ni muhimu kabla ya tiba maalumu yoyote ipendekezwe.

Athari kwenye familia

Msokoto unaweza ukachosha wazazi na familia. Hisia ya kwamba wao hawampi mtoto wao mahitaji yake inaweza kusababisha unyogovu kwa wazazi pia.

Marejeo

Msokoto Wa Watoto Wachanga  Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Msokoto wa watoto wachanga kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Msokoto Wa Watoto Wachanga SababuMsokoto Wa Watoto Wachanga TibaMsokoto Wa Watoto Wachanga Athari kwenye familiaMsokoto Wa Watoto Wachanga MarejeoMsokoto Wa Watoto WachangaAfyaKiingerezaMtoto

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KisononoRushwaUfinyanziMkoa wa IringaNdege (uanahewa)WanyakyusaMohammed Gulam DewjiMohamed HusseinUandishi wa ripotiSalaMtakatifu PauloOrodha ya Watakatifu WakristoWapareUtandawaziHistoria ya Kanisa KatolikiNuktambiliNominoNyaraka za PauloHistoria ya KanisaKataMsukuleKonrad LorenzAfrika Mashariki 1800-1845KiimboGudeMatendo ya MitumeBahariMkanda wa jeshiKenyaMsamahaMkoa wa MbeyaJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoSanaaNamba ya mnyamaAbrahamuHekayaShahawaHekimaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaVokaliMadiniAslay Isihaka NassoroOrodha ya Watakatifu wa AfrikaTaswira katika fasihiSamia Suluhu HassanSeli nyeupe za damuShengHekalu la YerusalemuMkoa wa MwanzaBongo FlavaTreniSteve MweusiHadithi za Mtume MuhammadNguruweWema SepetuBenjamin MkapaSemantikiMwaka wa KanisaIbadaSodomaMartin LutherNyati wa AfrikaTamthiliaNgano (hadithi)SexVita Kuu ya Pili ya DuniaKilimoBibliaSaa za Afrika MasharikiVivumishi vya idadiHifadhi ya SerengetiJiniMuundoUa🡆 More