Himalaya

Himalaya ni safu ya milima kunjamano katika Asia, upande wa kaskazini wa Uhindi.

Ng'ambo ya pili ni nyanda za juu za Tibet (Uchina).

Himalaya
Himalaya.

Himalaya ina milima mikubwa duniani. Milima 14 mirefu kabisa ya dunia iko Himalaya.

Milima yote iliyofika mita elfu nane juu ya usawa wa bahari iko katika safu ya Himalaya:

Ndani ya milima hii ya Himalaya kuna sehemu ambayo ni ya tatu duniani kwa kuwa na sehemu kubwa yenye barafu na theluji baada ya Antaktika na Aktiki.

Tazama pia

Himalaya  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Himalaya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AsiaKaskaziniMilima kunjamanoNyanda za juuTibetUchinaUhindi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Arusha (mji)Orodha ya majimbo ya MarekaniBahashaMarie AntoinetteWanyamaporiKimara (Ubungo)RejistaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiKihusishiKomaMachweoMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiNusuirabuZiwa ViktoriaMivighaWilaya ya TemekeMagonjwa ya kukuIdi AminTovutiKanga (ndege)EthiopiaSimbaMaudhuiShengMkoa wa PwaniKonsonantiWanyakyusaNdoa katika UislamuMkoa wa MorogoroMbwana SamattaUkabailaMusaMtandao wa kijamiiBaraza la mawaziri TanzaniaMamaUislamuOrodha ya nchi kufuatana na wakaziKamusi ya Kiswahili sanifuIniMlongeYesuHadithiNominoMaambukizi nyemeleziMmeaTaswira katika fasihiAustraliaOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaMajiBahari ya HindiUsafi wa mazingiraMnyoo-matumbo MkubwaLatitudoMwanzo (Biblia)TarbiaRohoMahakama ya TanzaniaPasakaMagharibiDiglosiaJuxOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMafurikoUingerezaBongo FlavaVirusi vya CoronaKhadija KopaMeno ya plastikiLakabuNgonjeraDiniSemiHalmashauri🡆 More