Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sasa anaongoza jumla ya wabunge 393 katika Bunge la Tanzania.
Ifuatayo ni orodha ya Maspika wa Bunge hilo:
Jina | Kuingia madarakani | Kutoka madarakani | Taarifa |
---|---|---|---|
Adam Sapi Mkwawa | 26 Aprili 1964 | 19 Novemba 1973 | Mkwawa alichaguliwa kuwa spika wa Bunge la Tanganyika tarehe 27 Novemba 1962 |
Erasto Andrew Mbwana Mang'enya | 20 Novemba 1973 | 5 Novemba 1975 | |
Adam Sapi Mkwawa | 6 Novemba 1975 | 25 Aprili 1994 | |
Pius Msekwa | 28 Aprili 1994 | 28 Novemba 2005 | |
Samuel John Sitta | 28 Desemba 2005 | 2010 | |
Anna Makinda | 10 Novemba 2010 | 16 Novemba 2015 | |
Job Ndugai | 17 Novemba 2015 | amejiuzulu January 1 2022 | |
Tulia Ackson | 1 Februari 2022 | Hadi Sasa |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Orodha ya Maspika wa Bunge la Tanzania, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.