Kiaceh ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Waaceh; wanaishi upande wa Kaskazini wa kisiwa cha Sumatra.
Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiaceh imehesabiwa kuwa watu milioni tatu na nusu. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiaceh iko katika kundi la Kichamiki.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiaceh kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kiaceh, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.