Uwanja wa michezo wa Lusail Iconic, (kwa Kiarabu: ملعب لوسيل الدولي) ni uwanja wa mpira wa miguu wa mji wa Lusail nchini Qatar.
Uwanja wa lusail utatumika kuchezea mechi kumi wakati wa kombe la dunia la FIFA 2022, ikiwa ni pamoja na fainali.
Uwanja wa Lusail, unaomilikiwa na Chama cha Soka cha Qatar ni uwanja mkubwa zaidi nchini Qatar na moja ya viwanja nane vinavyobadilishwa kuwa viwanja vya kimataifa vya Kombe la Dunia la FIFA, 2022 huko Qatar.
Uwanja huu upo takriban kilomita 23 kaskazini mwa mji wa Doha.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.