Doha

Doha (kwa Kiarabu: الدوحة ad-dawḥah) ni mji mkuu wa Qatar.

Jiji la Doha
Nchi Qatar
Doha
Majengo ya kisasa mjini Doha

Doha ni mji wa bandari mwambaoni mwa Ghuba ya Uajemi.

Idadi ya watu ni takriban lakhi nne (2005).

Historia

Doha iliundwa mwaka 1850 kwa jina la Al-Bida (mji mweupe).

Tangu kupatikana kwa mafuta ya petroli mji umejengwa upya ukiwa na nyumba kubwa na za kisasa kabisa.

Doha  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Doha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa SongweWakaguruBarua pepeMfumo wa JuaAfro-Shirazi PartyNomino za kawaidaNdiziMuungano wa Madola ya AfrikaChuo Kikuu cha PwaniUtamaduniUaMkoa wa IringaSoga (hadithi)MsamiatiOrodha ya maziwa ya TanzaniaKata za Mkoa wa Dar es SalaamKupatwa kwa JuaMaambukizi ya njia za mkojoChamaziUhuru wa TanganyikaZiwa ViktoriaJakaya KikweteSikioStephane Aziz KiMweziTawahudiKisononoPaul MakondaCristiano RonaldoSerikaliMpira wa kikapuJohn Samwel MalecelaNomino za pekeeMaziwa ya mamaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuKiburiNgonjeraMisriShairiMaghaniWazigulaSoko la watumwaMziziUandishi wa barua ya simuSeli nyeupe za damuUtataKhadija KopaVivumishi vya urejeshiBendera ya KenyaWilaya ya Unguja Magharibi AMachweoBungeNusuirabuShambaTwigaWahaAfrika KusiniMnururishoJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoAfrika Mashariki 1800-1845MuunganoUkomeshaji wa Biashara ya WatumwaMmeng'enyoEverest (mlima)Historia ya AfrikaHistoria ya ZanzibarMaji kujaa na kupwaAzam F.C.MofolojiaMmea🡆 More