Fonetiki

Fonetiki (kutoka Kiingereza Phonetics) ni tawi la sayansi ya isimu.

Inashughulikia uchunguzi wa sauti za lugha za binadamu, pamoja na utamkaji na usikiaji wake. Kwa ujumla, fonetiki ni tawi la isimu linalochunguza jinsi sauti zinavyozalishwa, zinavyosafirishwa na zinavyomfikia msikilizaji.

Etimolojia ya neno fonetiki imebeba dhana mbili: foni na etiki. Foni humaanisha sauti, ilihali etiki ni dhana pana kidogo.

Vitamkwa huandikwa kwa kutumia alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa (au kifupi cha jina lake kwa Kiingereza, International Phonetic Alphabet).

Fonetiki inagawanyika katika:

  • fonetiki akustika
  • fonetiki maabara (au fonetiki majaribio)
  • fonetiki masikizi
  • fonetiki matamshi
  • fonetiki tibamatamshi

Tanbihi

Marejeo

Ya Kiswahili

  • TUKI 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
  • Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Mengineyo

Viungo vya nje

Fonetiki  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fonetiki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Fonetiki TanbihiFonetiki MarejeoFonetiki Viungo vya njeFonetikiBinadamuIsimuKiingerezaLughaSautiSayansiTawi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

SexAjuzaAustraliaUtamaduniDola la RomaYoung Africans S.C.Mkoa wa MbeyaSensaFalsafaHadithi za Mtume MuhammadJiniViwakilishiUfeministiSimu za mikononiHistoria ya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaHistoria ya ZanzibarAfrika Mashariki 1800-1845Bendera ya KenyaMadhara ya kuvuta sigaraJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaPundaUjimaOrodha ya nchi za AfrikaMapambano ya uhuru TanganyikaRoho MtakatifuAmri KumiDagaaUgonjwaSaidi Salim BakhresaHaki za binadamuJumuiya ya MadolaUzazi wa mpangoMahakama ya TanzaniaUraibuBaruaVolkenoUchimbaji wa madini nchini TanzaniaMkoa wa MwanzaMr. BlueIsraelDayolojiaUlemavuSimba S.C.Kibu DenisHistoria ya WapareLugha za KibantuHifadhi ya mazingiraOrodha ya miji ya TanzaniaKigoma-UjijiVasco da GamaZama za MaweUti wa mgongoKamusi ya Kiswahili - KiingerezaMaana ya maishaStadi za lughaKiarabuKito (madini)Kupatwa kwa MweziGhanaWakingaMachweoMauaji ya kimbari ya RwandaDawatiMkoa wa MorogoroSayariHakiMaigizoZama za ChumaUkooBenki ya DuniaUgonjwa wa uti wa mgongo🡆 More