Wiki Foundation

Wiki Foundation ni shirika lisilo la kiserikali lililopo Marekani linaloendesha mradi wa Wikipedia pamoja na miradi mingine.

Wikimedia Foundation
Nembo la Wiki Foundation
Wikimedia Foundation
Wiki Foundation, San Francisco

Shabaha yake ni usambazaji wa elimu huria inayopatikana bure kwa watu wote kwa njia ya mtandao. Lilianzishwa na Jimmy Wales mwaka 2001. Shirika linaendeleza maendeleo ya programu huria za wikiwiki zinazomruhusu msomaji si kusoma tu bali kuandika na kuhariri vilevile.

Kwa ujumla karibia miradi yote ya Wiki Foundation si ya kibiashara na maudhui yote yaliyomo katika miradi hiyo hutungwa na wachangiaji wengi wanaojitolea bila malipo kutoka karibia pande zote za Dunia.

Mapato ya shirika hutokana na michango ya watu binafsi. Makampuni makubwa kama Amazon na Google yamewahi kutoka zawadi za dolar milioni, na mfadhili Georg Soros alituma pia zawadi ya dolar milioni 2 .

Mnamo mwaka 2018/2019 mapato ya taasisi yalifikia dolar milioni 120 ilhali matumizi yake yalikuwa milioni 91.

Miradi mingine ya Wiki Foundation ukiacha ule wa Wiki ni pamoja na Wikamusi (Wiktionary), Wikiquote, Wikisource, Wikinews, Wikibooks, Wikiversity, Wiki Commons na Meta-Wiki.

Shirika hili haliangalii yaliyomo kama makala ya Wikipedia ambayo hutungwa na jumuiya za watumiaji katika lugha zinazofikia karibu 200.

Marejeo

Viungo vya Nje

Wikimedia Foundation  Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wiki Foundation kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

MarekaniShirika lisilo la kiserikaliWikipedia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mapambano ya uhuru TanganyikaKonsonantiNomino za wingiMashuke (kundinyota)Vasco da GamaMeena AllyMauaji ya kimbari ya RwandaNgiriMkoa wa SingidaMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaLigi ya Mabingwa UlayaMuhimbiliMagomeni (Dar es Salaam)John Samwel MalecelaViunganishiOrodha ya vitabu vya BibliaUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaRayvannyMkoa wa LindiKisaweClatous ChamaVivumishi vya pekeeMusaAina za manenoPombooKilimoOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaAdolf HitlerMajira ya baridiUchumiJava (lugha ya programu)MahakamaRupie ya Afrika ya Mashariki ya KijerumaniMnara wa BabeliHistoria ya TanzaniaMuda sanifu wa duniaMrijaBawasiriMatumizi ya LughaLafudhiMohammed Gulam DewjiWilaya ya MeruAina za udongoKengeRaiaMofolojiaWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiSadakaWamasaiOrodha ya miji ya TanzaniaUtamaduni wa KitanzaniaMadhara ya kuvuta sigaraNambaLatitudoMillard AyoAgano JipyaMtakatifu PauloJohn Raphael BoccoMungu ibariki AfrikaMgawanyo wa AfrikaMapenziTeknolojiaNembo ya TanzaniaNgw'anamalundiPaul MakondaMaudhuiWilaya ya TemekeKiboko (mnyama)Vitenzi vishirikishi vikamilifuKiburiMkoa wa Pwani🡆 More