Jurawa

Spishi 5:

Jurawa
Jurawa kaskazi (Passer griseus)
Jurawa kaskazi (Passer griseus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea
Familia: Passeridae (Ndege walio na mnasaba na shomoro)
Jenasi: Passer (Shomoro na jurawa)
Brisson, 1760
Ngazi za chini

  • P. diffusus (A. Smith, 1836)
  • P. gongonensis (Oustalet, 1890)
  • P. griseus (Vieillot, 1817)
  • P. suahelicus (Reichenow, 1904)
  • P. swainsonii (Rüppell, 1840)

Jurawa ni spishi mbalimbali za ndege wadogo za jenasi Passer katika familia Passeridae ambao wanafanana na shomoro wenye kichwa kijivu. Ndege hawa wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu, lakini hula wadudu wadogo pia hasa wanapokuwa makinda. Spishi hizi zinatokea Afrika tu.

Spishi za Afrika

Picha

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

FananiMisemoKiboko (mnyama)Dar es SalaamNetiboliOrodha ya vitabu vya BibliaMmeaUtamaduniLahaja za KiswahiliMshubiriHistoria ya IranCleopa David MsuyaSentensiHistoria ya WapareBungeMajeshi ya Ulinzi ya KenyaUjimaVirusi vya UKIMWIPesaUlimwenguMamba (mnyama)Afrika KusiniUzalendoVisakaleSimbaMalariaUlumbiUnyagoNominoUwanja wa Taifa (Tanzania)HisiaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuMarie AntoinetteUenezi wa KiswahiliSimba S.C.Mfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaBunge la TanzaniaAustraliaOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMaambukizi ya njia za mkojoRedioUchaguziZuchuAgano la KaleOrodha ya Marais wa ZanzibarTambikoUzazi wa mpangoUmememajiMuungano wa Tanganyika na ZanzibarKanye WestMaudhuiRaiaRadiMkunduUshairiUtalii nchini KenyaSamakiMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiUkatiliMeno ya plastikiWanyama wa nyumbaniVidonda vya tumboSumakuMkanda wa jeshiVipera vya semiTanganyikaMasharikiHistoria ya WasanguMoscowStadi za lughaRisalaHurafaMshororoKhalifa🡆 More