Uchaguzi

Uchaguzi ni mchakato wa kumteua mtu kwa nafasi maalumu katika jamii, hasa cheo na majukumu yanayotokana nacho.

Uchaguzi
Sarafu ya Kiroma ikionyesha upigaji kura

Uchaguzi hufanyika kwa nafasi za uongozi au nafasi za mamlaka fulani. Uchaguzi hutokea mara nyingi kwa njia ya kupiga kura kwa wenye haki ya kura.

Katika chama, jumuiya binafsi au klabu ni wanachama wanaopigia kura kamati ya uongozi, mwenyekiti na maafisa wengine.

Katika shirika za hisa ni wenye hisa wanaopigia kura uongozi.

Katika dola ni raia au wawakilishi wao wanaochagua. Hapa kuna mbinu tofauti kufuatana na katiba ya nchi.

  • uchaguzi wa viongozi wakuu na raia, pamoja na kiongozi wa taifa (rais), wa serikali (waziri mkuu), wa manisipaa au mkoa, jaji, wabunge
  • uchaguzi wa wawakilishi (kwa mfano wabunge) watakaochagua wenye vyeo wengine
  • mchanganyiko kati ya mbinu mbili za kwanza

Tags:

CheoJukumu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MaudhuiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiVivumishiMbooKutoa taka za mwiliMeliKigoma-UjijiAgano la KaleFananiMnara wa BabeliDaktariKiarabuBendera ya KenyaHerufiUlumbiKiboko (mnyama)Jumuiya ya Afrika MasharikiUzalendoUtamaduniAustraliaRufiji (mto)RitifaaMisimu (lugha)IsraelRaiaJohn MagufuliDawa za mfadhaikoWilaya ya ArushaWilaya ya TemekeMazungumzoMazingiraTungo sentensiSanaaShinikizo la juu la damuUhuru wa TanganyikaRose MhandoMafurikoMmeaTamthiliaKiingerezaUenezi wa KiswahiliMishipa ya damuTendo la ndoaMuundo wa inshaNambaMkoa wa MorogoroMamaSikukuu za KenyaHistoria ya WapareKifua kikuuUfahamuInsha ya wasifuStadi za maishaMadhara ya kuvuta sigaraNgono zembeHafidh AmeirMofimuHistoria ya ZanzibarSah'lomonNgano (hadithi)VichekeshoLugha ya taifaMkoa wa RukwaInjili ya MarkoUkristo nchini TanzaniaMbogaLafudhiSentensiVivumishi vya kumilikiBikira MariaDhima ya fasihi katika maishaMkopo (fedha)Afrika ya Mashariki ya KijerumaniMkoa wa ManyaraUaRupiaOrodha ya kampuni za Tanzania🡆 More