Hafidh Ameir

Hafidh Ameir ni mume wa rais wa sita wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na asili ya visiwani Zanzibar.

Hafidh ni mtaalamu mstaafu wa masuala ya kilimo na walifunga ndoa na Mama Samia mwaka 1978 na wamejaaliwa kupata watoto wanne ; mmojawao, Wanu Hafidh Ameir, ni mwanasiasa kama mama yake na mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar

Marejeo

Hafidh Ameir  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hafidh Ameir kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AsiliKisiwaMamaMumeRaisSamia Suluhu HassanSitaTanzaniaZanzibar

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kamusi elezoKiboko (mnyama)KiunguliaMaumivu ya kiunoMoshi (mji)Andalio la somoUswisiSemantikiOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaDNAWandaliBurundiKimondo cha MboziHistoria ya AfrikaWahayaHistoria ya Afrika KusiniMahakama ya TanzaniaUshairiMwanaumeTanganyikaShengMapambano kati ya Israeli na PalestinaShinikizo la juu la damuVidonge vya majiraMichezo ya jukwaaniPasifikiUaMjusi-kafiriKumaStadi za lughaUbatizoMwanzoFaraja KottaKiraiDhambiLahaja za KiswahiliUtawala wa Kijiji - TanzaniaVivumishi vya pekeeMuda sanifu wa duniaIntanetiUtoaji mimbaMatendeUandishi wa inshaMkoa wa DodomaWazigulaImaniRiadhaNyanda za Juu za Kusini TanzaniaUkristoKatekisimu ya Kanisa KatolikiUjasiriamaliHuduma ya kwanzaMimba kuharibikaFasihi ya KiswahiliMkoa wa MtwaraLionel MessiUfufukoWangoniSamia Suluhu HassanMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaHistoria ya KiswahiliNambaSitiariKitenzi kikuu kisaidiziKiimboFasihiMkoa wa MbeyaTupac ShakurMorokoUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofungana🡆 More