Ladha

Ladha ni jumla ya hisi zinazopatikana kinywani wakati unapoonja kitu.

Kwa mfano, unaweza kusikia utamu, uchungu, ukali wa chakula au kinywaji fulani ukapendezwa au kutopendezwa nao.

Kiungo kinachohusika zaidi ni ulimi.

Uwezo wa kuonja ladha huhesabiwa kati ya milango ya fahamu.

Kwa kawaida mapishi yanalenga kuridhisha ladha iwezekanavyo. Jambo hilo ni muhimu hasa kwa wagonjwa wasio na hamu ya chakula. Hata hivyo, ni hatari kwa walafi kwa kuwa linawafanya wale kuliko mahitaji ya mwili na hivyo kuchangia uharibifu wa afya.

Ladha Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ladha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KinywaKitu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

HadhiraUfugajiOrodha ya Marais wa ZanzibarFigoMzabibuFananiOrodha ya Marais wa TanzaniaDoto Mashaka BitekoWajitaTanganyika (ziwa)MperaKhadija KopaUtendi wa Fumo LiyongoAfrika ya MasharikiMwanza (mji)PasifikiMwaniZiwa ViktoriaMuhimbiliLafudhiVitenzi vishirikishi vikamilifuSheriaAntibiotikiMadiniIkwetaBendera ya ZanzibarSanaa za maoneshoMmeaJichoUongoziIsimuWilayaChuo Kikuu cha Dar es SalaamFani (fasihi)Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiKonsonantiRedioAli Hassan MwinyiRupiaTendo la ndoaPunda miliaKimara (Ubungo)Kata za Mkoa wa Dar es SalaamUmoja wa MataifaDalufnin (kundinyota)ShetaniFalsafaVivumishi vya kuoneshaMsamahaHistoria ya Kanisa KatolikiUmaskiniSamia Suluhu HassanTanganyika (maana)Maradhi ya zinaaVitamini CHaki za binadamuAKata za Mkoa wa MorogoroNdoa katika UislamuBungeKisimaNyegeUandishiAlama ya uakifishajiTanganyika African National UnionJinsiaMkoa wa TangaUganda🡆 More