Hospitali

Hospitali ni majengo yaliyokusudiwa kutibu wagonjwa; kwa ajili hiyo kuwa wataalamu wa afya pamoja na vifaa mbalimbali.

Hospitali
Hospitali ya Bumbuli.

Hospitali nyingine zinalenga aina moja au chache tu za maradhi.

Nyingine pamoja na matibabu kwa wagonjwa zinaandaa madaktari na manesi wa kesho.

Baadhi ni za serikali, nyingine ni za binafsi, zikiwemo zile za dini na madhehebu mbalimbali.

Ni kwamba kihistoria, nyingi za zamani zilianzishwa na mashirika ya watawa. Kuna mashirika ambayo yaliundwa kwa lengo hilo pekee la kuhudumia wagonjwa kiroho na kimwili, kama yale yaliyoanzishwa na Yohane wa Mungu na Kamili wa Lellis.

Jina linatokana na neno la Kilatini hospes, likiwa na maana ya mgeni, halafu neno hospitium lenye maana ya mapokezi. Ni kwa sababu nyumba za huduma zilikuwa zikipokea wageni wa kila aina, wakiwemo wagonjwa.

Tanbihi

Marejeo

  • Brockliss, Lawrence, and Colin Jones. "The Hospital in the Enlightenment," in The Medical World of Early Modern France (Oxford UP, 1997), pp. 671–729; covers France 1650–1800
  • Chaney, Edward (2000),"'Philanthropy in Italy': English Observations on Italian Hospitals 1545–1789", in: The Evolution of the Grand Tour: Anglo-Italian Cultural Relations since the Renaissance, 2nd ed. London, Routledge, 2000. http://books.google.co.uk/books/about/The_evolution_of_the_grand_tour.html?id=rYB_HYPsa8gC
  • Connor, J. T. H. "Hospital History in Canada and the United States," Canadian Bulletin of Medical History, 1990, Vol. 7 Issue 1, pp 93–104
  • Crawford, D.S. Bibliography of Histories of Canadian hospitals and schools of nursing.
  • Gorsky, Martin. "The British National Health Service 1948–2008: A Review of the Historiography," Social History of Medicine, Dec 2008, Vol. 21 Issue 3, pp 437–460
  • Harrison, Mar, et al. eds. From Western Medicine to Global Medicine: The Hospital Beyond the West (2008)
  • Horden, Peregrine. Hospitals and Healing From Antiquity to the Later Middle Ages (2008)
  • McGrew, Roderick E. Encyclopedia of Medical History (1985)
  •  
  • Porter, Roy. The Hospital in History, with Lindsay Patricia Granshaw (1989) ISBN 978-0-415-00375-9
  • Risse, Guenter B. Mending Bodies, Saving Souls: A History of Hospitals (1999), 716pp; world coverage excerpt and text search
  • Rosenberg, Charles E. The Care of Strangers: The Rise of America's Hospital System (1995) history to 1920 table of contents and text search
  • Scheutz, Martin et al. eds. Hospitals and Institutional Care in Medieval and Early Modern Europe (2009)
  • Wall, Barbra Mann. American Catholic Hospitals: A Century of Changing Markets and Missions (Rutgers University Press, 2011). 238 pp. ISBN 978-0-8135-4940-8

Viungo vya nje

Hospitali 
WikiMedia Commons
Wiki Commons ina media kuhusu:
Hospitali  Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hospitali kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AfyaMgonjwaWataalamu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Fiston MayeleUundaji wa manenoTarakilishiItikadiNafsiKitenzi kikuu kisaidiziNdoa katika UislamuKisononoVirusi vya UKIMWIShetaniNomino za dhahaniaUmoja wa AfrikaMadiniAina ya damuMaji kujaa na kupwaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaAfyaTreniTarafaSarufiAli KibaNyangumiNdoaFasihi simuliziWaheheTundaAbedi Amani KarumeOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaJakaya KikweteWashambaaChuiMtume PetroBiblia ya KikristoLilithVipera vya semiMkanda wa jeshiAfrika Mashariki 1800-1845UturukiUlumbiUgaidiOsimosisiAzimio la kaziUshairiKylian MbappéMikoa ya TanzaniaUfufuko wa YesuUaKalendaUjasiriamaliWamasoniDamuMaambukizi ya njia za mkojoUbuyuOrodha ya Marais wa ZanzibarMauaji ya kimbari ya RwandaShikamooKiingerezaTamathali za semiKaabaKitunguuNamba ya mnyamaMbuga za Taifa la TanzaniaMongoliaSilabiNandyJinsiaPandaAina za udongoAfrikaMbeya (mji)ChakulaUjamaa🡆 More