Hospitali Ya Marangu

Hospitali ya Kilutheri ya Marangu inapatikana Marangu, mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania na inamilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania dayosisi ya Kaskazini.

Hospitali hii ilifunguliwa mwaka 1907, ilianza kama kituo cha kutoa huduma ya kwanza na kukua taratibu mpaka kufikia hadhi ya kuitwa hospitali ya Wilaya. Hospitali ya Marangu ina jumla ya vitanda 80, na inahudumia watu takribani 300,000, kutoka maeneo ya Marangu Holili, Himo na Uchira

Marejeo

Tazama pia

Tags:

DayosisiKanisa la Kiinjili la KilutheriKaskaziniMaranguMkoa wa KilimanjaroTanzania

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Hekaya za AbunuwasiNeemaMwanza (mji)WazaramoSean CombsNetiboliSiku tatu kuu za PasakaNgome ya YesuBawasiriMohammed Gulam DewjiTmk WanaumeTungo kishaziMtende (mti)MofolojiaKombe la Dunia la FIFAMbiu ya PasakaMkoa wa TangaJamhuri ya Watu wa ZanzibarKongoshoUmaAdolf HitlerWayao (Tanzania)FutiUfugaji wa kukuUbuyuMkoa wa NjombeKadi ya adhabuMji mkuuHifadhi ya SerengetiOrodha ya makabila ya TanzaniaMahakama ya TanzaniaViwakilishiUgandaJuaNenoMaradhi ya zinaaKombe la Mataifa ya AfrikaRadiKuraniMuzikiJakaya KikweteRitifaaVivumishi vya sifaMwaka wa KanisaBata MzingaJuxMichelle ObamaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziChris Brown (mwimbaji)Orodha ya vitabu vya BibliaAina za manenoBrazilUjamaaUzazi wa mpangoWashambaaUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiTesistosteroniKisasiliShetaniDhamiriMizimuMaadiliNdovuHarmonizeUgonjwa wa kupoozaKichochoMisriKrismasiUlemavuNomino za pekeeTamthiliaNamba ya mnyamaKifua kikuuMajina ya Yesu katika Agano JipyaFigoJackie Chan🡆 More