Kitunguu (Allium cepa) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa kila mahali pa dunia.
Kitunguu (Allium cepa) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Vitunguu vyekundu | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Spishi A. cepa haitokei porini. Spishi za pori yenye nasaba ya karibu sana ni A. vavilovii na A. asarense.
Aina yenye rangi ya zambarau huitwa kitunguu maji. Aina hiyo hufikiriwa kutibu maradhi arobaini, ambayo miongoni mwao ni joto la mwili kwa ujumla na mbegu za uzazi zilizokuwa za moto.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kitunguu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kitunguu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.