Z

Z ni herufi ya mwisho katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa.

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

Asili yake ni Zeta ya alfabeti ya Kigiriki.

Maana za Z

Historia ya Z

Kisemiti asilia
picha ya jambia (silaha)
Kifinisia
Zayin
Kigiriki
Zeta
Kietruski
Z
Kilatini
Z
Z  Z  Z  Z  Z 

Asili ya herufi Z ni miandiko iliyotangulia alfabeti ya Kilatini. Waroma walipokea mwandiko kutoka alfabeti ya Kigiriki kupitia alfabeti za Kiitalia za awali kama Kietruski. Wagiriki walipokea kutoka Wafinisia.

Wafinisia walikuwa na alama ya "zayin" iliyokuwa kiasili picha iliyorahisishwa ya jambia (silaha) wakitumia alama tu kwa sauti ya "dz" na kuiita kwa neno lao kwa silaha hiyo "zayin". Wagiriki walichukua alama hiyo na kuiita "Zeta" bila kujali maana asilia ya "jambia". Kwao imekuwa sauti tu ya "dz". Katika maendeleo ya alfabeti walinamisha herufi hadi kufikia umbo lake.

Waitalia wa kale kama Waetruski wakapokea herufi kwa umbo lililofanana na umbo asilia. Waroma wakaichukua kutoka hapa kwa sauti ya "ts" lakini baadaye hawakutamka sauti hii na Z ikafutwa katika afabetiy a Kiroma.

Ila tu tangu karne ya 1 KK Waroma walipoanza kutawala Ugiriki na kupokea maneno mengi kutoka lugha ya Kigiriki walichukua tena Z kwa kuandika maneno yenye asili ya Kigiriki wakarithi pia umbo la baadaye.

Z  Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Z kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Z  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Z kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Alfabeti ya KigirikiAlfabeti ya KilatiniKiswahiliZeta

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Haki za binadamuNdovuRejistaHussein Ali MwinyiMfumo wa JuaVieleziBinadamuKiingerezaMziziOrodha ya Marais wa MarekaniTungo sentensiMajira ya mvuaChuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)WanyamweziNafsiVita vya KageraAlama ya uakifishajiKitenzi kishirikishiMbwana SamattaIntanetiIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)Maambukizi ya njia za mkojoMaradhi ya zinaaUzalendoWhatsAppIyumbu (Dodoma mjini)Ukomeshaji wa Biashara ya WatumwaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuBaruaMfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaNomino za kawaidaMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaUmoja wa MataifaSomo la UchumiBendera ya KenyaBenki ya DuniaNimoniaMazingiraHistoria ya KiswahiliMatendeUbungoIpagalaMkoa wa IringaSaida KaroliOrodha ya kampuni za TanzaniaHedhiKinyongaMauaji ya kimbari ya RwandaWajitaAlgorithimu uchanguajiKidole cha kati cha kandoMagonjwa ya kukuHisaMJWayahudiSteve MweusiDawatiMtandao wa kompyutaLafudhiMkoa wa SimiyuVielezi vya namnaHomoniKilimoMilaMohamed HusseiniGeorDavieUsafi wa mazingiraMohamed Gharib BilalMpwaUtumwa🡆 More