T

T ni herufi ya 20 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa.

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

Asili yake ni Tau ya alfabeti ya Kigiriki.

Maana za T

Historia ya T

Kisemiti asilia T Kifinisia T Kietruski T Kigiriki Tau
T  T  T  T 

Tâw ilikuwa herufi ya mwisho katika alfabeti ua Wasemiti wa kale. Alama yake ilikuwa msalaba. Wagiriki walipopokea alama za Wafinisia waliiita alama Tau na kusukuma mstari wa kulala juu hadi mwanzo wa mstari wa kusimama.

Waetruski na Waroma wa Kale walipokea vile.

Tags:

Alfabeti ya KigirikiAlfabeti ya KilatiniKiswahili

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

PunyetoMaana ya maishaLenziMkoa wa LindiMoyoLahaja za KiswahiliKunguniPaul MakondaKamusi ya Kiswahili sanifuMadhara ya kuvuta sigaraLugha za KibantuDhima ya fasihi katika maishaMpira wa miguuMethaliUtamaduniJinaiMilango ya fahamuVisakaleMwana wa MunguMwenge wa UhuruMuundo wa inshaAHarusiHerufiMuungano wa Madola ya AfrikaMadawa ya kulevyaKenyaUislamuTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya TanzaniaUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaViwakilishi vya pekeeDubaiUlayaKombe la Mataifa ya AfrikaMkoa wa MbeyaIntanetiUajemiPanziWokovuBiasharaBinadamuOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaOrodha ya Watakatifu wa AfrikaNyimbo za jadiMtaalaAfrika ya KatiJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoKanda Bongo ManBarabaraNyotaUtataWilaya ya HandeniIstilahiUfeministiKiongoziHistoria ya IsraelNgono zembeChuiHoma ya matumboMungu ibariki AfrikaVielezi vya mahaliEstrojeniAfrika ya MasharikiItifakiSaddam HusseinRiwayaLugha ya maandishiOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaNigeriaKishazi tegemeziMadhehebuDhamiraUsafi wa mazingiraHadithi za Mtume MuhammadMaarifaAsili ya Kiswahili🡆 More