Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Kiswahili" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Kiswahili ni lugha ya Kibantu yenye misamiati mingi ya Kiarabu (35%), lakini sasa ya Kiingereza pia (10%), inayozungumzwa katika eneo kubwa la Afrika... |
Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) ni idara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania. Taasisi hii ni miongoni mwa taasisi kongwe za lugha nchini... |
Kiswahili ni lugha ambayo ilikuwa ikitumiwa na wakazi wa maeneo ya pwani ya Afrika Mashariki hata kabla ya ukoloni. Lugha hii ilitumika katika kufanyia... |
Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Kama lugha nyingine zote, hii pia ni sauti za nasibu... |
Kamusi za Kiswahili ni zile zinazofafanua maana ya maneno ya lugha hiyo ya Afrika Mashariki ambayo inazidi kuenea hasa barani Afrika. Kamusi hizo ni vyombo... |
Kiswahili kimepatikana kwa namna au lahaja mbalimbali. Wakati wa ukoloni wa Uingereza azimio lilitolewa kutumia Kiswahili cha Unguja kuwa Kiswahili rasmi... |
Wiki ya Kiswahili (au Wikipedia kwa Kiswahili) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kiswahili. Wikipedia ya Kiswahili ilianzishwa tarehe... |
Klabu za Kiswahili katika shule mbalimbali za sekondari zinaanzishwa kwa malengo mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi ya malengo ya kuanzishwa kwa klabu za... |
BAKITA ni kifupi cha Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania. BAKITA ni chombo cha serikali chini ya wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo. Baraza... |
Kamusi Kuu ya Kiswahili (KKK) ni kamusi ya lugha ya Kiswahili iliyotolewa na Baraza la Kiswahili la Taifa la Tanzania mwaka 2015 baada ya maandalizi ya... |
Vijana na Kiswahili ni suala la msingi katika kudumisha na kustawisha lugha hiyo kama nyingine yoyote. Katika taifa lolote vijana ndio chachu ya maendeleo... |
Siku ya Kiswahili Duniani (kwa Kiing. World Kiswahili Language Day) ni tarehe 7 Julai iliyoteuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja... |
Kiswahili cha Socotra ni aina ya kiswahili kilichotoweka kilichokuwa kinazungumzwa kisiwani Socotra nchini Yemen. Iliripotiwa kuzungumzwa katika sehemu... |
Matumizi ya lugha ya Kiswahili ni kama ifuatavyo. 1. Kiswahili hutumika katika kufundishia shule za msingi isipokuwa lugha ya Kiingereza hufundishwa kama... |
inakusanya maneno ya Kiswahili sanifu na kuyaeleza kwa lugha ya Kiswahili yenyewe. Inaongoza kwa kiswahili sanifu Kamusi ya Kiswahili sanifu. Dar es Salaam... |
Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki. Neno Swahili lina asili ya Kiarabu: Sahil ina maana ya... |
Fasihi ya Kiswahili ni fasihi ambayo huandikwa kwa lugha ya Kiswahili, hasa na watu wa Afrika Mashariki. Fasihi ya Kiswahili ni sehemu ya fasihi ya Kiafrika... |
Tuzo ya Kiswahili ya Mabati Cornell (kwa Kiingereza: the Mabati Cornell Kiswahili Prize for African Literature) ni tuzo kwa ajili ya waandishi wa lugha... |
maneno zaidi ya 50,000 ya Kiswahili. Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza (KKK) (imetungwa TUKI, Dar es Salaam 2001) Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza (TUKI) online... |
Kiswahili Mtandaoni ilikuwa kamusi ya Kiswahili kwenye intaneti. Tangu kuhamishwa kwa mradi mnamo mwaka 2014 haipatikani tena kwa lugha ya Kiswahili ikionyesha... |