Sao Tome ni mji mkuu wa nchi ya visiwa ya Sao Tome na Principe, karibu na Afrika ya Magharibi.
Jiji la Sao Tome | |
Nchi | Sao Tome na Principe |
---|
Jina limetokana na lile la Kireno la Mtakatifu Thoma.
Mji ulianzishwa na Ureno mwaka 1485 kwenye pwani ya kaskazini-mashariki ya kisiwa chenye jina lilelile katika ghuba ya Guinea.
Mji ulikuwa na wakazi 56,166 mwaka 2005.
Kuna kiwanja cha ndege cha kimataifa na viwanda kadhaa ya matofali, sabuni na vinywaji.
Sao Tome ina shule za msingi hadi sekondari, makanisa, hospitali ya pekee nchini, vituo vya TV na redio.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Sao Tome kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Sao Tome, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.