Njiwa

Jenasi 2; spishi 53, 20 katika Afrika:

Njiwa
Kunda madoa
Kunda madoa
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Columbiformes (Ndege kama njiwa)
Familia: Columbidae (Ndege walio na mnasaba na njiwa)
Leach, 1820
Nusufamilia: Columbinae (Ndege walio mnasaba na njiwa)
Leach, 1820
Ngazi za chini

  • Columba Linnaeus, 1758
    • C. albinucha Sassi, 1911
    • C. albitorques Rüppell, 1837
    • C. arquatrix Temminck, 1808
    • C. bollii Godman, 1872
    • C. delegorguei Delegorgue, 1847
    • C. guinea Linnaeus, 1758
    • C. iriditorques Cassin, 1856
    • C. junoniae Hartert, 1916
    • C. larvata Temminck, 1809
    • C. livia Gmelin, 1789
    • C. malherbii J.Verreaux & E.Verreaux, 1851
    • C. oenas Linnaeus, 1758
    • C. oliviae Clarke, 1918
    • C. palumbus Linnaeus, 1758
    • C. pollenii Schlegel, 1865
    • C. simplex (Hartlaub, 1849)
    • C. sjostedti Reichenow, 1901
    • C. thomensis Bocage, 1888
    • C. trocaz Heineken, 1829
    • C. unicincta Cassin, 1859
  • Patagioenas Reichenbach, 1852

Njiwa ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Columba na Patagioenas katika familia Columbidae. Spishi nyingine huitwa kunda pia.

Wana rangi ya kijivu na nyeupe na pengine kuna rangi ing'aayo ya buluu au zambarau.

Wanatokea mazingira yote yenye miti. Njiwa hula mbegu, matunda na mimea. Hujenga tago lao la vijiti kwa miti au miwamba. Jike hutaga mayai mawili kwa kawaida na makinda wapewa dutu inayofanana na maziwa. Dutu hii inatungwa katika gole la ndege.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Njiwa  Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Njiwa kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

RejistaMobutu Sese SekoUbuntuUgonjwa wa kuharaMitume na Manabii katika UislamuVirusi vya UKIMWINishatiMoses KulolaUainishaji wa kisayansiTeknolojiaIbadaKima (mnyama)MaskiniVielezi vya namnaSarufiTausiKiambishi tamatiMatumizi ya lugha ya KiswahiliKiswahiliUmoja wa UlayaUhifadhi wa fasihi simuliziUtawala wa Kijiji - TanzaniaSteven KanumbaMange KimambiJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoAbrahamuTarakilishiMkataba wa Helgoland-ZanzibarUshairiHaki za binadamuBikira MariaOrodha ya Watakatifu wa AfrikaHekalu la YerusalemuFiston MayeleMaudhuiUhakikiDiplomasiaBaraza la mawaziri Tanganyika 1961Insha ya kisanaaRaiaMaajabu ya duniaKata (maana)Kanisa KatolikiZana za kilimoKishazi huruKondomu ya kikeOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaMfumo wa upumuajiUchapajiUti wa mgongoAfrikaBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiShuleMkoa wa ShinyangaUlumbiHistoria ya Kanisa KatolikiIntanetiTungo sentensiMaambukizi ya njia za mkojoMkondo wa umemeNgeliNgono zembeOrodha ya miji ya TanzaniaTanganyika (ziwa)UkoloniOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMkoa wa TangaKonokonoWazaramo🡆 More