Makumbusho Ya Bonde La Oltupai

Makumbusho ya Bonde la Oltupai (kwa Kiingereza: Olduvai Gorge Museum) yanapatikana katika hifadhi ya Ngorongoro kaskazini mwa Tanzania katika bonde la Oltupai.

Makumbusho Ya Bonde La Oltupai
Jumba la makumbusho ya Bonde la Oltupai.

Makumbusho haya yaliweza kuvumbiwa na Mary Leakey na kwa sasa yapo chini ya mamlaka ya kitengo cha mambo ya kale ya utamaduni ya Tanzania na inasimamiwa na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Ni jumba la makumbusho lililowekwa kwa ajili ya kuthamini na kuelewa maeneo ya Olduvai Gorge na Laetoli.

Tags:

BondeKaskaziniKiingerezaNgorongoroOlduvai GorgeTanzania

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa Dar es SalaamRafikiAlomofuMaajabu ya duniaMaumivu ya kiunoMshororoNathariUsawa (hisabati)KobeUongoziMgawanyo wa AfrikaJakaya KikweteJulius NyerereWapareKishazi tegemeziBawasiriVirutubishiDodoma (mji)JuaKilimoTanganyika (ziwa)WachaggaZama za MaweHarmonizeMfumo wa lughaTheluthiMbwana SamattaNishati ya mwangaViwakilishi vya -a unganifuMafua ya kawaidaUenezi wa KiswahiliUajemiMimba kuharibikaKomaTetemeko la ardhiAzziad NasenyaLafudhiHeshimaHistoria ya KiswahiliKihusishiNdoaOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaNidhamuKoloniMusuliVieleziWembeMoyoChemchemiAbrahamuTanganyikaUmoja wa AfrikaStadi za lughaErling Braut HålandVivumishi vya urejeshiKito (madini)UyogaReli ya TanganyikaSomaliaBendera ya TanzaniaBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiUislamu kwa nchiKanga (ndege)Mafumbo (semi)MbonoWilliam RutoMfumo wa mzunguko wa damuVivumishi vya kumilikiMwanaumeFalsafaPapaKumaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziMkoa wa KigomaMalipoDubai (mji)WahayaDaniel Arap Moi🡆 More