Mji Dubai

Dubai (kwa Kiarabu: دبيّ) ni mji mkuu wa ufalme wenye jina hilo katika katika Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.

Mji Dubai
Mji wa Dubai

Uko kwenye mwambao wa Ghuba ya Uajemi kati ya Sharjah na Abu Dhabi.

Jiji la Dubai lilikuwa mji mdogo wenye wakazi 20,000 tu hadi vita kuu ya pili ya dunia. Leo hii kuna wakazi zaidi ya 1,200,000. Nyumba zote za Dubai ni mpya.

Kukua kwa Dubai kulitokana na mapato ya mafuta ya petroli. Lakini akiba za mafuta hayo si kubwa kama kwa majirani yake. Mapato ya mafuta ni 6% pekee za pato la taifa.

Viongozi wa ufalme wa Dubai wamefaulu kuweka msingi mpya wa uchumi katika biashara na utalii.

Viungo vya nje

Tags:

Falme za KiarabuJinaKiarabuMji mkuuRasi ya UarabuniShirikishoUfalme

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Haki za watotoViwakilishi vya urejeshiZiwa ViktoriaChakulaNuktambiliHekaya za AbunuwasiJamhuri ya Watu wa ZanzibarSaudiaDiplomasiaKisaweMtume PetroJogooHadithi za Mtume MuhammadUbuntuTreniP. FunkMwigizajiOrodha ya majimbo ya MarekaniViungo vinavyosafisha mwiliUchawiCleopa David MsuyaMichezo ya watotoAgano JipyaMashariki ya KatiOrodha ya Marais wa ZanzibarChuraMichael JacksonFalsafaVirusi vya UKIMWIMfumo wa upumuajiMadawa ya kulevyaMaudhuiHistoria ya ZanzibarMisimu (lugha)Barua rasmiTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya TanzaniaWairaqwLongitudoKenyaMsituKomaWordPressTafsiriDhanaUnyevuangaViwakilishi vya sifaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaBurundiKiambishi tamatiAsiliUkoloniNdoaMarekaniHifadhi ya mazingiraUchapajiKabilaSitiariMitume na Manabii katika UislamuMusaBwehaAslay Isihaka NassoroVokaliNdimuUtandawaziUNICEFWanyama wa nyumbaniKiunguliaWaluguruLigi ya Mabingwa UlayaMwenge wa UhuruBikiraHoma ya iniMnururishoHistoria ya Israel🡆 More